HISPANIA WAMEANZA EURO 2024 KWA USHINDI MNONO WA 3-0 DHIDI YA CROATIA
Uhispania wameanza EURO 2024 kwa ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya Croatia katika dimba la Olympiastadion (Berlin).Mabao ya Hispania yamefungwa na Morata 28’, Ruiz 32’, Carvajal 45+2’
Uhispania wameanza EURO 2024 kwa ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya Croatia katika dimba la Olympiastadion (Berlin).Mabao ya Hispania yamefungwa na Morata 28’, Ruiz 32’, Carvajal 45+2’
Wanasheria wanaomwakilisha Masoud Kipanya, wamewaambia waandishi wa habari kwamba kwene barua walitomuandikia Mwijaku, walimueleza kuwa anatakiwa kumlipa mteja wao kiasi cha shilingi bilioni tano kama fidia kwa kumchafua na kutoa tuhuma za uongo dhidi yake. Wakili Aloyce Komba kutoka kwa kampuni ya uwakili ya Haki Kwanza Advocates anayemwakilisha Kipanya kwa niaba ya mawakili wenzake, wamezungumza…
Sekretarieti ya Klabu ya Simba imewafungia kujihusisha na masuala ya klabu Wanachama Mohamed Khamisi Mohamed maarufu Dr. Mohammed na Agnes M. Daniel maarufu Aggy Simba mpaka pale kamati ya maadili itakapoamua vinginevyo. Sekretarieti imepoke malalamiko mengi ya kimaadili dhidi ya Wanafamilia hao wa klabu ya Simb ikiwemo kuitisha mikutano kinyume na taratibu na kuchochea migogoro…
Mwimbaji maarufu wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali almaarufu Harmonize ametoa wimbo mpya wa ‘Sensema’ akishirikiana na supastaa mwingine wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania, Rayvanny au Vanny Boy
Siku ya leo viwanja vitatu tofauti vitatikiswa kushuhudia nani anaondoka na pointi tatu. Tikisa mtaani kwenu na wewe kwa kubashiri na mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania Meridianbet. Luciano Spalletti ndani ya Signal Iduna Park na Italy yake wanataka kutetea taji lao ambapo wataanza kukipiga dhidi ya Albania. Leo hii wamepewa nafasi kubwa ya kuibuka wababe…
Meridianbet magwiji wa michezo ya kubashiri wameiinua Kibaha na hiyo ni baada ya kufika eneo hilo na kutoa msaada wa katika Zahanati inayopatikana katika eneo hilo. Kurudisha kwenye jamii yake ni utaratibu ambao Meridianbet wamekua nao kwa miaka na miaka na leo wameendeleza utaratibu huo ambapo wamefika Kibaha kwenye Zahanati ya Misugusugu na kurudisha tabasamu…
Wenyeji Ujerumani wameanza michuano ya kombe la Mataifa Ulaya EURO 2024 kwa ushindi mnono dhidi ya Scotland katika dimba la Allianz Arena, Munich. FT: Ujerumani ?? 5-1 ??????? Scotland ⚽ Wirtz 10’ ⚽ Musiala 19’ ⚽ Havertz 45’ ⚽ Fullkrug 68’ ⚽ Can 90+3’ ⚽ Rudiger (og) 87’
Afisa Habari wa Bodi ya Ligi alifanya mahojiano na Global TV na kueleza kuwa mojawapo ya watu muhimu katika mchezo wa mpira wa miguu ni pamoja na wachambuzi wa mpira kwa maana wanaliangalia jambo kwenye namna tofauti.
UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa kwenye anga la kimataifa wanaimani watafanya kitu kikubwa ambacho kitawashangaza wengi ambao hawana imani na timu hiyo. Ipo wazi kwamba Azam FC itapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa baada ya kugotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 69. Hasheem Ibwe, Ofisa Habari wa…
Klabu ya Raja Casablanca imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Morocco ya Botola Pro bila kupoteza mchezo wowote na inakuwa klabu ya kwanza kihistoria kufanya hivyo na kutwaa ubingwa wa Ligi kwa mara ya 15. Licha kukaa kileleni mwa msimamo wa Botola Pro kwa wiki 18, FAR Rabat ya Nasreddine Nabi imeshindwa kutwaa ubingwa wa Ligi…
KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amekwama mazima ndani ya Simba kuifikia rekodi yake ya kuwa namba moja katika kutengeneza pasi za mwisho ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba Chama raia wa Zambia msimu wa 2022/23 alikuwa ni namba moja kwa wakali wa pasi za mwisho alipotoa jumla ya pasi 14 na kufunga…
Dirisha la Usajili (FIFA Connect) kwa Klabu za Ligi Kuu ya NBC (NBCPL), Championship League (CL), First League (FL) na Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) msimu wa 2024/2025 linafunguliwa kesho Jumamosi Juni 15, 2024 na litafungwa Agosti 15 2025. Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limezitaka Klabu kufanya usajili na uhamisho wa wachezaji huku…
JAMBO lingine kubwa linakuja kutoka kwa Yanga mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 wakidhaminiwa na kampuni ya SportPesa. Jambo hilo ni uzinduzi wa kitabu cha Yanga kinachotarajiwa kuzinduliwa Jumamosi Juni 15 uongozi wa Yanga umebainisha kwamba umekusanya mengi ya muhimu bila kuacha chochote. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2023/24 Yanga imetwaa taji…
Ndugu mteja je unajua kuwa unaweza kujishindia zawadi kibao kwenye michuano hii ya EURO 2024 na COPA AMERICA?. Piga *149*10# ubeti na kitochi mechi zote ili uweze kujiweka kwenye nafasi ya kuwa mshindi leo hii. Unaweza kuwa tajiri na promosheni maalumu kabisa kwaajili ya michuano mikubwa ya EURO pamoja na COPA AMERICA ambayo inaanza kutimu…
MWAMBA Aziz Ki ni mtambo wa kuvunja rekodi ndani ya kikosi cha Yanga kutokana na kasi yake kuwa kwenye mwendelezo bora wakati wote kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba aliibuka Yanga akitokea ASEC Mimosas ya Ivory Coast msimu wa 2022/23 ambapo alikuwa akitajwa pia kuwaniwa na Simba inayonolewa na Juma Mgunda. Ki aliyetambulishwa…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari Bongo, Saleh Jembe ameweka wazi kuwa ikiwa Mangungu ataachiwa suala la usajili inaweza kuwa ni mzigo mzito zaidi kwake akibainisha kwamba kwa sasa Simba wanahitaji marekebisho ya timu yao na wapunguze maneno mengi zaidi wafanye kazi kwa ushirikiano zaidi. Ameweka wazi kuwa kati ya timu ambayo imeongoza kwa…