KAMPUNI na UBALOZI WASITISHA MKATABA na KIPANYA KISA TUHUMA za MWIJAKU – WAKILI AFICHUA HASARA KUBWA

Wanasheria wanaomwakilisha Masoud Kipanya, wamewaambia waandishi wa habari kwamba kwene barua walitomuandikia Mwijaku, walimueleza kuwa anatakiwa kumlipa mteja wao kiasi cha shilingi bilioni tano kama fidia kwa kumchafua na kutoa tuhuma za uongo dhidi yake. Wakili Aloyce Komba kutoka kwa kampuni ya uwakili ya Haki Kwanza Advocates anayemwakilisha Kipanya kwa niaba ya mawakili wenzake, wamezungumza…

Read More

SIMBA YAFUNGIA MASHABIKI

Sekretarieti ya Klabu ya Simba imewafungia kujihusisha na masuala ya klabu Wanachama Mohamed Khamisi Mohamed maarufu Dr. Mohammed na Agnes M. Daniel maarufu Aggy Simba mpaka pale kamati ya maadili itakapoamua vinginevyo. Sekretarieti imepoke malalamiko mengi ya kimaadili dhidi ya Wanafamilia hao wa klabu ya Simb ikiwemo kuitisha mikutano kinyume na taratibu na kuchochea migogoro…

Read More

MERIDIANBET YAFIKA ZAHANI KIBAHA KUTOA MSAADA

Meridianbet magwiji wa michezo ya kubashiri wameiinua Kibaha na hiyo ni baada ya kufika eneo hilo na kutoa msaada wa katika Zahanati inayopatikana katika eneo hilo. Kurudisha kwenye jamii yake ni utaratibu ambao Meridianbet wamekua nao kwa miaka na miaka na leo wameendeleza utaratibu huo ambapo wamefika Kibaha kwenye Zahanati ya Misugusugu na kurudisha tabasamu…

Read More

AZAM FC KUFANYA KITU KIMATAIFA

UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa kwenye anga la kimataifa wanaimani watafanya kitu kikubwa ambacho kitawashangaza wengi ambao hawana imani na timu hiyo. Ipo wazi kwamba Azam FC itapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa baada ya kugotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 69. Hasheem Ibwe, Ofisa Habari wa…

Read More

HIVI NDIVYO CHAMA ALIVYOKWAMA SIMBA

KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amekwama mazima ndani ya Simba kuifikia rekodi yake ya kuwa namba moja katika kutengeneza pasi za mwisho ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba Chama raia wa Zambia msimu wa 2022/23 alikuwa ni namba moja kwa wakali wa pasi za mwisho alipotoa jumla ya pasi 14 na kufunga…

Read More

YANGA KUJA NA JAMBO HILI KUBWA

JAMBO lingine kubwa linakuja kutoka kwa Yanga mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 wakidhaminiwa na kampuni ya SportPesa. Jambo hilo ni uzinduzi wa kitabu cha Yanga kinachotarajiwa kuzinduliwa Jumamosi Juni 15 uongozi wa Yanga umebainisha kwamba umekusanya mengi ya muhimu bila kuacha chochote. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2023/24 Yanga imetwaa taji…

Read More

MTAMBO WA KUVUNJA REKODI BONGO AZIZ KI

MWAMBA Aziz Ki ni mtambo wa kuvunja rekodi ndani ya kikosi cha Yanga kutokana na kasi yake kuwa kwenye mwendelezo bora wakati wote kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba aliibuka Yanga akitokea ASEC Mimosas ya Ivory Coast msimu wa 2022/23 ambapo alikuwa akitajwa pia kuwaniwa na Simba inayonolewa na Juma Mgunda. Ki aliyetambulishwa…

Read More

JEMBE AZUNGUMZIA MKATABA WA JOBE NA MANGUNGU KUSAJILI

LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari Bongo, Saleh Jembe ameweka wazi kuwa ikiwa Mangungu ataachiwa suala la usajili inaweza kuwa ni mzigo mzito zaidi kwake akibainisha kwamba kwa sasa Simba wanahitaji marekebisho ya timu yao na wapunguze maneno mengi zaidi wafanye kazi kwa ushirikiano zaidi. Ameweka wazi kuwa kati ya timu ambayo imeongoza kwa…

Read More