ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KINAWAKA LEO
Usiku wa kusisimua zaidi kwa wapenda soka duniani kote unarejea leo ambapo utaenda kushuhudia michezo mikali ikipigwa katika viwanja viwili tofauti katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. Miamba ya soka kutoka nchini Hispania klabu ya Real Madrid itamenyana na klabu ya Manchester katika mchezo wa kwanza wa robo fainali, Huku vinara…