Cheza Sloti ya GOLD OASIS Kasino Bora Meridianbet

Gold Oasis, mchezo mwingine wa sloti  kutoka Meridianbet kasino ya Mtandaoni unaokupeleka maeneo ya jangwa la Sahara. Kazi yako ni kujiunga na kikundi kilichoanzisha kampeni ya ushindi mkubwa. Karibu kwenye furaha kubwa ya kukusanya maokoto.   Gold Oasis ni mchezo wa sloti ulioandaliwa na mtayarishaji Pragmatic Play. Kitu kisichokuwa cha kawaida kabisa kinakungoja katika mchezo…

Read More

MKALI WA MAPIGO HURU KAMILI KUMVAA MNYAMA

MKALI wa mapigo huru ndani ya Ligi ya Wanawake Tanzania, Joele Bukuru aliyekuwa akicheza kikosi cha Simba Queens yupo tayari kwa kazi akiwa na timu yake mpya ya Singida Fountain Gate. Ipo wazi kwamba kiungo huyo alipokuwa ndani ya kikosi cha Simba Queens alikuwa akipewa majukumu ya mapigo huru ikiwa ni faulo, kona kaanza mazoezi…

Read More

DIAMOND AMTAJA ALIYEMSHIKA MKONO

NASIB Abdul msanii anayepeperusha bendera ya Tanzania kitaifa na Kimataifa wengi wanamtambua kwa jina la Diamond amefichua siri yake na Legend kwenye muziki wa Bongo Fleva Henry Samir wengi wanamtambua kwa jina la Mr Blue. Diamond ameweka wazi kuwa Blue alikuwa naye bega kwa bega kabla hajatusua kitaifa kwa kumshika mkono hatua kwa hatua akiwa…

Read More

INGIZO JIPYA SIMBA LIMEPEWA JEZI NGUMU

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba limepewa jezi ngumu ambayo ni namba 18 iliyokuwa inavaliwa na kiraka aliyeonja chungu na tamu na uwezo wake ulikuwa mkubwa kwenye kutimiza majukumu yake kila alipopewa nafasi. Michael Fredy ameanza mazoezi na wachezaji wa Simba akiwa ni mshambuliaji anayetarajiwa kubeba mikoba ya Jean Baleke ambaye amekutana na Thank…

Read More

DR CONGO WAIDUWAZA MISRI AFCON

TIMU ya taifa ya DR Congo iliyokuwa kundi F na timu ya taifa ya Tanzania imekata tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON). Ilikuwa katikà 16 bora dhidi ya Misri ya Mohamed Salah ambaye kagotea hatua hiyo na mpango wa kutinga nusu fainali umeyeyuka mazima. Wababe hao walitinga hatua ya…

Read More