HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), leo Januari 25, 2024 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato che nne. BOFYA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 BONYEZA LINK HAPA CHINI Matokeo ya Kidato cha Nne 2024
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), leo Januari 25, 2024 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato che nne. BOFYA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 BONYEZA LINK HAPA CHINI Matokeo ya Kidato cha Nne 2024
Siku ya kupiga mkwanja imewadia ambapo mechi kibao zinatarajiwa kupigwa kuanzia kule Ujerumani, Hispania, Italia Ufaransa na zingine kibao, weka pesa na uanze kusuka mkeka wako mapema kabisa. Nikianza kumulika ligi ya Italia SERIE A hapo kesho kutakuwa na mechi za kibabe sana zenye pesa nyingi kabisa majira ya saa 11:00 Atalanta atakipiga dhidi ya…
JURGEN Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool ameweka wazi kuwa hatakuwa ndani ya timu hiyo msimu ujao ikiwa ni maamuzi yake mwenyewe. Taarifa iliyotolewa na Liverpool imeweka wazi kwamba Klopp mwenyewe amesema hataendelea kuwa na timu hiyo baada ya msimu kuisha. Kocha huyo amesema:”Baada ya msimu kuisha sitaendelea kuwa katika nafasi ambayo nipo sasa ndani ya…
INATOSHA kwa maumivu ambayo mashabiki wameyapata pamoja na wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo ilikuwa ikipambana kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika, (AFCON). Kwenye mechi tatu ilizocheza ilikuwa ni ngumu kupata tabasamu kutokana na mechi zote kutoapa ushindi hivyo Watanzania wapo kwenye huzuni ya kuona kwamba kwa mara nyingine tena tunakuwa…
Hadithi za kale zina mafundisho mengi sana ndani yake, baadhi ya tungo hizo zilikuwa na lengo la kubadili mitazamo ya watu na nyingine ni kuburudisha, kuna hii hadithi ya Mfalme mmoja aliyetawala Falme za Kiarabu alikuwa ni mtu mpenda sifa na majivuno haswa kwa wafanyakazi wake na watu aliokuwa akiwapatia msaada. Moja ya watu ambao…
UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kufanya biashara ya kuwauza wachezaji wao waliokuwa na uhakika wa namba kikosi cha kwanza ni kupata fedha za kulipa madeni. Timu hiyo ipo ndani ya tano bora na imekuwa ikileta ushindani mkubwa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara kutokana na mipango makini kwenye kusaka…
UWEPO wa nyota wapya ndani ya kikosi cha Yanga unatajwa kuwa sababu ya kuongeza ugumu wa namba kwenye kikosi hicho kinachofundishwa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi raia wa Algeria. Miongoni mwa wachezaji wapya waliongezwa ni mshambuliaji mmoja, kiungo mshambuliaji pamoja na mkabaji kwenye dirisha dogo la usajili.
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amesema watapambana kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa wapo tayari kuwapa furaha mashabiki na wao kutimiza malengo yao. Mzize ni miongoni mwa washambuliaji wazawa ambao wamekuwa ni maji kupwa na kujaa ndani ya Yanga licha ya kutopewa nafasi mara kwa mara akiwa kwenye ubora wake hufanya kazi yake kwa…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari wa habari katika masuala ya michezo Jembe ameweka wazi kuwa dunia inabadilika haraka sana huku mafanikio yakiwa kwenye sehemu tofautitofauti akibainisha kuhusu Kibegi kama kiliwasaidiai kuwaongezea kitu inawezekana kuwa sehemu ya mafanikio. Amebainisha kuwa ni muhimu wa kubadili mawazo kwa sasa kwa kuangalia kwamba kama ni waati uliopita…