
CHAMPIONSHIP KUKIWASHA LEO
MWENYEKITI wa Mbeya Kwanza, Mohamed Mashango ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Championship dhidi ya Green Warrior Uwanja Majimaji,Ruvuma. Mashango amesema ” Tumejiandaa vizuri tunamshukuru Mungu kila kitu kinaendelea vizuri tumejipanga vizuri tunahitaji pointi tatu tunajua mchezo utakuwa mgumu tupo tayari kwa ajili ya kupambana . “Hali ya wachezaji kwa…