SIMBA YATUMA UJUMBE HUU KMC

BENCHI la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa litaingia kwa tahadhari kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Simba ilitoka kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wao uliopita wa ligi ambapo mabao yalifungwa na Saido Ntibanozkia, Sadio anoute na John Bocco. Leo…

Read More

KAZI NZITO LEO HAPA LIVERPOOL PALE ARSENAL

Mtoto hatumwi dukani ndio unavyoweza kusema kuelekea mtanange mkali kati ya vilabu viwili venye ubora mkubwa kwasasa klabu ya Liverpool ambao watakua nyumbani kuikaribisha klabu ya Arsenal. Mchezo huu mkali wa kufungia mwaka utapigwa pale katika dimba la Anfield ambapo utaweza kutoa fursa pia kwa wateja wa Meridianbet kuchota maokoto, Kwani mchezo huu kati ya…

Read More

MWENDELEZO WA LIGI KUU BARA UMAKINI UNAHITAJIKA

MWENDELEZO wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mzunguko wa kwanza unapaswa kuendelea kwa hesabu kubwa kwa timu ambazo zinashuka uwanjani kwa wakati huu. Kila timu mpango kazi wake ni kupata matokeo hivyo kwa wale ambao hawajawa kwenye mwendo mzuri ni muda wa kufanya maboresho kwenye makosa yaliyopita. Ipo wazi kwamba kila timu inahitaji kupata matokeo…

Read More

TABORA UNITED WATANGAZIWA JAMBO HILI NA YANGA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa unazitaka pointi tatu za wapinzani wao Tabora United kuelekea mchezo wao wa ligi unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Ipo wazi kwamba Yanga ipo nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 10 ina pointi 27 inakutana na Tabora United iliyo nafasi ya 12 na pointi 15.  Ofisa…

Read More

SIMBA YAPOTEZA KARIAKOO DABI

KATIKA mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Desemba 22 ubao ulisoma Simba 0-4 Yanga kwenye NBC Premier League. Simba wakiwa wenyeji walishuhudia wakifungwa dakika ya 16 kupitia kwa Willyson Christopher, Shaban Ibrahim dakika 23, Ahmed Denis dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti, Hemed dakika ya 58. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed…

Read More

AMEACHA BALAA HUKO CAF PACOME/MUDA

MWAMBA Pacome katika Ligi ya Mabingwa Afrika ameacha balaa huku wapinzani wao Medeama wakiwa wamefungwa mabao mawili na nyota huyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel kibindoni ina pointi tano ikiwa nafasi ya pili kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika katika kundi D

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI KMC

ABDELHAK Benchikha, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna ari kubwa kwa wachezaji wa timu hiyo katika kutimiza majukumu jambo ambalo linaongeza nguvu katika kutafuta matokeo uwanjani. Simba inatarajiwa kukaribishwa na KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Azam Complex, Desemba 23 ikiwa ni mzunguko wa kwanza. Mchezo wa ligi uliopita ubao wa…

Read More

SAMSUNG A32 KUTOLEWA KWENYE PROMOSHENI YA SIKUKUU YA MERIDIANBET

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet msimu huu wa sikukuu wamejitokeza na Promosheni ya kibabe kabisa ambapo imewaangukia wachezaji wa michezo ya Sloti ambayo ipo ndani ya Kasino ya Mitandaoni. Promosheni hii kama ilivyoelezwa itakua inahusisha wateja wanaocheza Sloti ambayo ni sehemu ya michezo ya Kasino Mitandaoni, Huku mshindi akijishindia Samsug A32, mshindi…

Read More