Home Sports SABABU ZA KIUNGO MGUMU SIMBA KUTUPWA JUKWAANI CAF

SABABU ZA KIUNGO MGUMU SIMBA KUTUPWA JUKWAANI CAF

KIUNGO mgumu wa Simba Sadio Kanoute atakosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Desemba 19. Nyota huyo katika mechi tatu mfululizo alionyeshwa kadi za njano hivyo atakuwa jukwaani kuwashuhudia wachezaji wenzake wakipambania pointi tatu.

Previous articleMAYELE APISHANA NA TUZO, PERCY AIBEBA
Next articleKOCHA SIMBA APISHANA NA TUZO