Skip to content
Thursday, June 25, 2026
  • Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC
  • Yanga SC 3-0 Azam FC
  • Tunisia vs Netherlands Juni 26,2026 Kombe la Dunia
  • Cristiano Ronaldo na Kane Watazamwa Zaidi Katika Michezo ya Leo

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC
  • Yanga SC 3-0 Azam FC
  • Tunisia vs Netherlands Juni 26,2026 Kombe la Dunia
  • Cristiano Ronaldo na Kane Watazamwa Zaidi Katika Michezo ya Leo

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2023
  • December
  • 12
  • SABABU ZA KIUNGO MGUMU SIMBA KUTUPWA JUKWAANI CAF
  • Sports

SABABU ZA KIUNGO MGUMU SIMBA KUTUPWA JUKWAANI CAF

Saleh3 years ago01 mins

KIUNGO mgumu wa Simba Sadio Kanoute atakosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Desemba 19. Nyota huyo katika mechi tatu mfululizo alionyeshwa kadi za njano hivyo atakuwa jukwaani kuwashuhudia wachezaji wenzake wakipambania pointi tatu.

Post navigation

Previous: MAYELE APISHANA NA TUZO, PERCY AIBEBA
Next: KOCHA SIMBA APISHANA NA TUZO

Related News

Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC

Saleh11 hours ago4 hours ago 0

Yanga SC 3-0 Azam FC

Saleh11 hours ago11 hours ago 0

Cristiano Ronaldo na Kane Watazamwa Zaidi Katika Michezo ya Leo

Saleh2 days ago 0

Algeria Yaizima Jordan na Kufufua Matumaini ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026

Saleh2 days ago 0
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.