PUMZIKA KWA AMANI NISHER

MTAYARISHA wa video za muziki Bongo, Nic Davie maarufu kwa jina la Director Nisher amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, saa nane na dakika tisa. Taarifa za kifo cha Nisher zimethibitishwa na familia yao, ambapo kupitia akaunti za mitandao ya kijamii, wameandika. “Familia ya Nabii Mkuu, Dkt. Geordavie inasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa,…

Read More

AZAM FC WAJIKITA NAMBA MOJA, NADO AFANYA YAKE

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wameendelea kujikita kuwa namba moja kwenye msimamo baada ya kukomba ponti tatu mbele ya JKT Tanzania. Kwenye mchezo uliochezwa Desemba 11 2023 Uwanja wa Azam Complex unakuwa ni ushindi  wa tano mfululizo ndani ya Ligi Kuu Bara Mabao ya Azam FC yalifungwa na Sospeter Bajana dakika ya kwanza likawekwa usawa…

Read More

JINSI YA KUJIUNGA NA BETWINNER

KUNA namna nyingi ambazo zitakumpa pesa bila usumbufu hapa tunakuletea jinsi ya kujisajili Betwinner, ni rahisi sana ambapo unatakiwa kugusa link https://bwredir.com/24Ji?p=%2Fregistration%2F Kisha bonyeza Registration by One-click ‼️ Kisha kwenye Enter promo code jaza: CHAMA kama code ya bonasi Ukikamilisha hilo gusa kwenye REGISTER na utapewa Username (Login) na Password na hapo sasa utakuwa umejiunga na…

Read More

KOCHA SIMBA APISHANA NA TUZO

KOCHA Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha amepishana na tuzo ya kocha bora baada ya kuingia kwenye tatu bora ya wale wanaowania tuzo hiyo. Mrithi huyo wa mikoba ya Roberto Oliveira alikuwa kwenye chungu kimoja na Walid Regragui wa Morocco pamoja na Aliou wa Senegal. Mwisho kwenye usiku wa tuzo  kocha bora kwa timu za wanaume…

Read More

MAYELE APISHANA NA TUZO, PERCY AIBEBA

KWENYE usiku wa tuzo Tuzo Desemba 11 mchezaji bora wa mwaka kutoka kwenye mashindano ya vilabu ambaye kasepa na tuzo hiyo ni Percy Tau wa Al Ahly. Nyota huyo amewashinda wachezaji wenzake ambao alikuwa nao kwenye fainali ambao ni Peter Shalulile wa Mamelodi na Fiston Mayele  ambaye yupo ndani ya Pyramids akitokea Yanga. Tuzo ya…

Read More