>

FT: Machester United 0-3 Bournemouth

Baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea Manchester United imeshindwa kuendeleza mwenendo mzuri na kukubali kichapo cha 3-0 nyumbani dhidi ya Bournemouth. FT: Machester United 0-3 Bournemouth ⚽️ 5’ Solanke ⚽️ 68’ Billing ⚽️ 73’ Senesi #FULLTIME Brighton 1-1Burnley Sheffield United1-0 Brentford Wolves 1-1Nottingham Forest Crystal Palace 1-2 Liverpool

Read More

VIWANJA VIBORESHWE LIGI IZIDI KUWA NA UBORA

KILA leo tunashuhudia ligi yenye ushindani mkubwa kwa kila timu kuwa na mpango wa kuvuna pointi tatu kwenye mchezo husika. Katika mwendo wa ligi ambayo ushindani wake ni mkubwa tunaona kila timu inapambana kusaka ushindi na wale wanaotumia makosa ya wapinzani wanapata kile wanachostahili. Ushindani umekuwa mkubwa na hali hii inatakiwa kuwa endelevu mpaka mwisho…

Read More

SIMBA:TUTAZIPATA POINTI TATU KWA NGUVU MUNGU

IKIWA ni saa chache zimebaki kabla ya wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba kutupa kete ya tatu kusaka pointi tatu dhidi ya Wydad Casblanca wameweka wazi kuwa kwa nguvu ya Mungu watazipata pointi tatu. Ipo wazi kwamba kwenye anga la kimataifa msimu wa 2023/24 mambo ni magumu kwa Simba katika mechi nne…

Read More

MATAJIRI WA DAR MOTO WAO SIO WAKITOTO

MATAJIRI wa Dar Azam FC moto wa ushindi hauzimi kutokana na kuendelea pale walipoishia Novemba kupata ushindi mbele ya wapinzani wao na kukomba pointi tatu. Ipo wazi kuwa ndani ya Novemba katika mechi tatu mfululizo, mbili ambazo ni dakika 180 walicheza ugenini na kete ya kufungia mwezi ikipigwa Azam Complex zote waliibuka na ushindi. Katika…

Read More

IHEFU WAKOMBA POINTI ZA TABORA UNITED

WAKIWA Uwanja wa Highland Estate Ihefu walikomba pointi zote tatu mazima kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tabora United. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa mwamba Vedastus Mwihambi alipachika mabao yote kwa Ihefu ilikuwa dakika ya 40 na dakika ya 56. Kwenye mchezo huo uliochezwa Desemba 8 ni bao la Andy Bikoko lilikuwa…

Read More