>

KUSANYA MPUNGA WA MAANA NA MECHI ZA UEFA LEO

Kama kijana najua una ndoto nyingi za mafanikio kulingana na hali ya uchumu ilivyo sasa nchini. Basi Meridianbet wanakuambia hivi ukibashiri na wao kutimiza ndoto zako ni rahisi sana kwani huku wamekuwekea kila ambacho unakitaka wewe. Bashiri sasa mechi za UEFA hapa. Hebu tuanze pale katika jiji la Italia ambapo Lazio Rome atakuwa mwenyeji wa…

Read More

KOCHA BENCHIKHA – ”SITOANGALIA MAJINA YA WACHEZAJI, NITAANGALIA PAFOMANSI”..

Klabu ya Simba imefanya mkutano na waandishi wa habari kwa ajili ya kujibu maswali tofautitofauti baada ya kumtangaza Kocha wao mpya Abelhak Benchikha. Moja ya mambo yaliyoongelewa na Benchikha ni kwamba yeye hatoangalia jina la mchezaji bali ataangalia uwezo wa kila mchezaji uwanjani ili ajue kikosi alichonacho. Zaidi sana Benchikha amesema anataka ushirikiano kutoka kwa…

Read More

USHINDANI KWENYE LIGI KUU BARA UENDELEE

MZUNGUKO wa kwanza bado unaendelea kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba kwa sasa timu nyingi zinapambana kufanya vizuri na kupata matokeo ndani ya uwanja. Kila timu inafanya vizuri ndani ya dakika 90 kusaka ushindi. Kushindwa kufanya vizuri kwenye mechi husika haina maana kwamba kazi itakuwa imekwisha hapana ni muhimu kupambana zaidi kwa…

Read More

40 LUCKY KASINO UNYAMA NI MWINGI KWENYE MAOKOTO

Neno Kasino unapolisikia kwa mara ya kwanza unapata picha gani? Iko hivi Kasino ni sehemu nzuri yenye kila kitu cha kufurahi, ikiwemo michezo mingi na rahisi kushinda, Makamaria wengi hupenda kucheza na dau kubwa ili upate ushindi mkubwa ndiyo maana Merdianbet imeamua kuusogeza mchezo huu mpaka kiganjani mwako na unaweza kucheza kasino mtandaoni popote ulipo….

Read More

ANA NDOTO ZA KUREJEA UWANJANI MDAMU, ANAHITAJI MSAADA

NYOTA Gerald Mdamu aliyewahi kukipiga ndani ya Polisi Tanzania bado anapambania hali yake ili kurejea kwenye ubora wake mdogomdogo baada ya kuumia mguu walipopata ajali ya gari wakitokea mazoezini. Julai 9 2021 ilikuwa ni ganzi ya maumivu kwenye ulimwengu wa mpira baada ya ajali hiyo kutokea na mchezaji aliyeumia zaidi kuliko wote alikuwa ni Mdamu….

Read More

HAWA HAPA MAKOCHA WAPYA SIMBA

RASMI uongozi wa Simba umewatambulisha makocha wapya watatu ambao watakuwa na kikosi hicho kutimiza majukumu yao kwenye mechi za kitaifa na kimataifa. Usiku wa kuamkia Novemba 28 makocha hao wametua Bongo na kupokelewa na viongozi wa Simba wakiongozwa na Mtendaji Mkuu Imani Kajula. Timu hiyo ilisitisha mkataba wa Roberto Oliveira Novemba 7 muda mfupi baada…

Read More

AZAM FC WAKIMBIZA DAKIKA 270

NDANI ya dakika 270 kwenye mechi tatu za ligi, Azam FC wamekimbiza kwa kukomba pointi zote tisa walizokuwa wakisaka ndani ya uwanja. Chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kwenye mechi tatu mfululizo ilikuwa ni kicheko kwao huku maumivu yakiwa kwa wapinzani wao. Ilianza na kete ya ugenini ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa…

Read More