>

HAWA HAPA WAMEBEBSHWA KAZI NA KOCHA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaambia wachezaji wake wapya kuwa sasa ni muda wao muafaka wa kuonyesha thamani yao katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inatarajiwa kuanzia ugenini nchini Zambia dhidi ya Power Dynamos katika hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo utakaopigwa Septemba 15, mwaka huu. Kikosi…

Read More

AKUANZAE MMALIZE, ANGA LA BURUDANI LILIPATWA

MUZIKI unakua na muziki unatanuka na kupaisha mbawa zake kona mbalimbali za Dunia hii. Sio ajabu kumkuta mtu anasikiliza wimbo ambao hajui hata maana yake ila akaufurahia kwa hisia zake zote. Katika muziki wa kufokafoka ‘Hip-Hop’ sio ajabu sana kukuta wasanii wakitupiana maneno au wakivimbiana kwa kitu fulani au jambo fulani. Huyu atasema yeye ni…

Read More

UKUBWA WA SIMBA UMESHAFAHAMIKA

INAKUJA African Super League ambayo itashirikisha timu kubwa nane tu za Afrika kutoka katika kila ukanda wa bara hilo. Upande wa Afrika Mashariki, kigogo wa ukanda wetu ni Simba ambao ndio wanawakilisha ukanda wote. Simba ndio timu kubwa na maarufu zaidi katika ukanda wa Cecafa na hasa unapozungumzia masuala yanayohusu Shirikisho la Soka Afrika na…

Read More

MWAMBA SKUDU AMPA NGUVU GAMONDI

SKUDU Makudubela ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga limeogeza nguvu katika kikosi hicho kinachoongoza ligi baada ya kukusanya pointi sita na mabao 10. Makudubela hakuwa katika mechi hizo mbili za ligi za ushindani ambazo ni Yanga 5-0 KMC na Yanga 5-0 JKT Tanzania kutokana na kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa…

Read More

MAPUMZIKO YA DHAHABU YASIDUMAZE USHINDANI

WAKATI wa mapumziko kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara ni muhimu kuwa na manufaa kwa kila mmoja kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji. Tumeona kabla ya ligi kusimama kuna baadhi ya timu ambazo zilikuwa kwenye mwendelezo mzuri wa kupata matokeo chanya. Haina maana mapumziko haya yawatoe kwenye ile kasi haitapendeza bali ni muhimu kuendelea pale…

Read More