ANSU FANTI NDANI YA BRIGHTON

RASMI sasa mshambuliaji Ansu Fati atavaa jezi za Brighton baada ya Alhamisi kukamilisha dili lake la kujiunga na timu hiyo kwa mkopo akitokea Barcelona. Fati ametolewa kwa mkopo Brighton baada ya kushindwa kumshawishi kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez licha ya awali kuonekana kinda huyo atafanya makubwa kikosini hapo kiasi cha kukabidhiwa jezi namba 10 iliyovaliwa…

Read More

HAALAND AKOMBA TUZO

STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland Alhamisi aliendelea kula matunda ya kazi yake nzuri ambayo aliifanya msimu uliopita akiwa na kikosi hicho baada ya kufanikiwa kubeba tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa Uefa. Haaland ambaye alifunga mabao 36 kwenye Premier msimu uliopita alibeba tuzo hiyo kwenye hafla ya upangaji wa makundi wa Ligi ya…

Read More

SIMBA YAWAFUNGUKIA AL AHLY

BAADA ya droo ya African Football League kuchezwa na Simba kupangwa kuanza na Al Ahly ya Misri, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kuonyesha ukubwa wao. Simba katika African Football League itaanza na Al Ahly katika hatua ya robo fainali mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 20,2023 na ule wa marudiano itakuwa…

Read More

MAXI NAMBA 7 WA YANGA ATUMA UJUMBE HUU KIMATAIFA

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Mpia Nzegeli ameweka wazi kuwa malengo yake ni kuhakikisha kuwa anaisaidia timu hiyo kufanya vyema katika michuano ya kimataifa na kufikia malengo yao ya kufika hatua ya makundi. Yanga ili wafanikiwe kutinga katika hatua ya makundi wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanawaondoa Al Merrikh katka mchezo unaofuata wa hatua ya pili ya…

Read More