IWE NI KARIAKOO DABI YA AMANI

KARIAKOO Dabi inatarajiwa kuwa leo Uwanja wa Mkwakwani ambapo hii ni hatua ya fainali Ngao ya Jamii kwa timu zote kusaka ushindi. Ni Yanga dhidi ya Simba mchezo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki na wachezaji wenyewe kuonyesha uwezo wao uwanjani. Baada ya maandalizi ya muda pamoja na usajili kuendelea kufanyika wakati uliopo sasa…

Read More

BINGWA WA EPL HUYU HAPA

MSIMU wa Ligi Kuu ya England umeanza kutimua vumbi jana Ijumaa, kwa michezo miwili kupigwa ambapo mabingwa watetezi Manchester City walifungua pazia la kampeni ya kutetea taji lao ugenini mbele ya Burnley, huku mabingwa wa Ngao ya Jamii, Arsenal wao wakianzia nyumbani dhidi ya Nottingham Forest. Tayari joto la matokeo limezidi kuwa kubwa kwa mashabiki…

Read More

HUYU HAPA KIPA MPYA SIMBA

RASMI Simba imemtangaza kipa mpya mwingine tena ambaye atakuwa askihirikiana na wale waliopo kwenye kazi ya ulinzi. Ni Ayoub Lakred Agosti 12 ametambulishwa rasmi huku taarifa zikieleza kuwa ni Agosti 11 dili lake lilikuwa tayari kwa mwamba huyo kuwa ndani ya Simba. Kipa huyo alikuwa anaitumikia Klabu ya AS Far ya Morocco hiyo msimu wa…

Read More

NDONDO CUP YAFIKA 16 BORA

BAADA ya kivumbi kutimka hatua za makundi mashindano ya Ndondo Cup hatimaye 16 bora imepatikana na inatarajiwa kuanza Agosti 12-16 na viwanja viwili vitatumika ikiwa ni Uwanja wa Kinesi na Bandari. Mashindano hayo yenye ushindani mkubwa yanaratibiwa na Chama cha Soka wilaya ya Ubungo. Katibu wa chama cha soka wilaya ya Ubungo, Hassan Bakari  amesema:”Kwa…

Read More

KIPA SIMBA KWENYE MTEGO MKWAKWANI

ALLY Salim kipa namba mbili wa Simba ameingia kwenye mtego mwingine wa kudhihirisha ubora wake kama alibahatisha ama ulikuwa ni upepo alipokamilisha dakika 90 bila kutunguliwa na mastaa wa Yanga wakiongozwa na Fiston Mayele. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Salim alikaa langoni kwenye Kariakoo Dabi na alishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa…

Read More

MUDA NI MCHACHE HUKU MAMBO YAKIWA MENGI

MUDA uliobaki kwa ligi kuanza unahesabika, kwani kila kitu kitaanza hivi karibuni ikiwa ni msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ni Yanga walitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 wanakazi ya kuutetea kwa msimu mpya wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba Yanga walitwaa Ngao ya Jamii pia msimu wa 2023 kwa ushindi dhidi ya Simba Uwanja…

Read More

HISTORIA IMEANDIKWA UDHAMINI WA NBC LIGI KUU BARA

HATIMAYE Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Benki ya NBC wametangaza kufanya maboresho ya mkataba wao wa udhamini wa Ligi Kuu Bara, kutoka udhamini wa awali wa miaka mitatu hadi mitano kuanzia msimu wa mwaka 2023/24 hadi mwaka 2027/2028. Ikumbukwe kuwa udhamini wa awali wa miaka mitatu ulikuwa wa thamani ya sh. Bilioni…

Read More

CAICEDO AIGOMEA LIVERPOOL, HUYO CHELSEA

DILI la staa wa Brighton FC Moises Caicedo kuibukia Liverpool linaweza kubuma licha ya asilimia 99 kuwa upande wao. Nyota huyo wa Brighton alikuwa katika mazungumzo na Liverpool ambao waliweka mkwanja mrefu mezani wa euro 110 milioni. Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool aliweka wazi kuwa kila kitu kuhusu Caicedo kipo tayari ni jambo la…

Read More

MASHUJAA WAINGIA ANGA ZA SIMBA NA YANGA

KARIBU mgeni mwenyeji apone, ipo hivyo jambo ambalo wamekuja nalo Mashujaa FC kutoka Kigoma kwa kuingia anga za Simba na Yanga. Ikumbukwe kwamba Mashujaa FC ilipata nafasi ya kushiriki Ligi Kuu Bara baada ya kuifungashia virago Mbeya City kwenye mchezo wa mtoano hivyo Mbeya City itashiriki Championship msimu wa 2023/24. Ni Mashujaa Day timu hiyo…

Read More

YANGA WAMEANZA KUIVUTIA KASI FAINALI

BAADA ya kuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii, kikosi cha Yanga kimeanza mazoezi kuelekea fainali. Dakika 90 Yanga ilikamilisha Agosti 9, 2023 kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ukisoma Yanga 2-0 Azam FC. Mabao ya Yanga yalifungwa na Clement Mzize dakika ya 88 na Aziz KI dakika…

Read More

DODOMA JIJI HAWAPOI, WAJA NA MKWARA HUU

UONGOZI wa Dodoma Jiji umeanza kutamba mapema baada ya ratiba ya Ligi Kuu Bara kutangazwa huku wakitarajia kufungua pazia kwa kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 ni Yanga waliokuwa wakinolewa na Nasreddine Nabi ambaye hatakuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Mbali na Nabi…

Read More

MPIRA SIO VITA MUHIMU KULINDANA WACHEZAJI

MASHABIKI furaha yao ni kuona wachezaji wakicheza kwa umakini na kuipa ushindi timu yao ambayo wanaishangilia. Ipo hivyo hata kwa benchi la ufundi pamoja na wachezaji wenyewe wanapokuwa ndani ya uwanja. Mashabiki wa Singida Fountain Gate wanapenda kuona timu ikipata matokeo mazuri hata wale wa Kagera Sugar nao pia wanapenda kupata matokeo mazuri. Miongoni mwa…

Read More

DABI NDANI YA TANGA, MKWAKWANI, YANGA V SIMBA

NI Kariakoo Dabi ndani ya Tanga inasubiriwa kwa shauku kutokana na kila mmoja kushinda kigingi cha kwanza cha nusu fainali. Katika nusu fainali ya pili dakika 90 zilikuwa ni ngumu kwa nyota wote katika kucheka na nyavu kati ya Simba dhidi ya Singida Fountain Gate. Ubao umesoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate na kupeleka changamoto…

Read More