
IWE NI KARIAKOO DABI YA AMANI
KARIAKOO Dabi inatarajiwa kuwa leo Uwanja wa Mkwakwani ambapo hii ni hatua ya fainali Ngao ya Jamii kwa timu zote kusaka ushindi. Ni Yanga dhidi ya Simba mchezo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki na wachezaji wenyewe kuonyesha uwezo wao uwanjani. Baada ya maandalizi ya muda pamoja na usajili kuendelea kufanyika wakati uliopo sasa…