MABOSI YANGA WACHOMOA BEKI, SIMBA YAVAMIA YANGA, AZAM
Mabosi Yànga wachomoa bonge moja ya beki, Simba waingia anga za Azam FC ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
Mabosi Yànga wachomoa bonge moja ya beki, Simba waingia anga za Azam FC ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
THIERRY Manzi raia wa Rwanda anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu ujao. Simba imepishana na ubingwa ambao upo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Yanga pia imetinga hatua ya fainali ya Azam Sports Federation iliposhinda mbele ya Singida Big…
BAADA ya kukamilisha mchezo wao wa hatua ya nusu fainali ya Azam Sports Federation msafara wa Yanga umerejea salama Dar wakianza hesabu kwenye mchezo wao wa kimataifa. Ni Mei 21 kikosi kilikuwa Uwanja wa Liti, Singida na ubao ulisoma Singida Big Stars 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi lilipachikwa kimiani na Fiston Mayele ambaye aliingia…
HAKUNA Prince Dube, hakuna Ayoub Lyanga hata Abdul Suleiman, ‘Sopu’ naye ndani ya kuwania tuzo za Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Wakati mwingine tuzo huwa zinakuwa ni kipimo cha ubora na muda mwingine ni kipimo cha kuongeza hasira za mapambano. Haina maana kwamba wachezaji wa Azam FC hawana ubora haina maana kwamba waliotajwa kwenye…
UTATU wa nyota watatu ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira una balaa kutokana na kasi yao kwenye kufunga na kutengeneza nafasi za mabao. Ipo wazi kuwa Yanga ni mabingwa wakiwa na pointi 74 kibindoni na kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele mwenye mabao 16. Nyota Mayele amekuwa kwenye ubora ndani…
BEKI mzawa Dickson Job ndani ya kikosi cha Yanga ameweka rekodi ya kuwa mvuja jasho namba moja kwa wachezaji katika eneo la ukabaji. Nyota huyo kacheza mechi 22 akivuja jasho ndani ya dakika 1,890 kwenye kuipambania nembo ya jezi ya Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara. Job kutoka zilipo safu za milima ya Uluguru…
FAINALI CAF, Mayele aitikisa Afrika, mtambo wa mabao Simba mikononi mwa Robertinho ndani ya Championi Jumatatu
NYOTA wa Simba Clatous Chama amefungiwa mechi tatu kutokana na kitendo cha kumchezea faulonyota wa Ruvu Shooting, Abal Kassim
MFUNGAJI mwenye kasi ya hatari kuwatesa makipa ndani ya Bongo msimu wa 2022/23 amepachika bao pekee la ushindi katika hatua ya nusu fainali ya pili ya Azam Sports Federation yupo Yanga. Anaitwa Fiston Mayele amemtungua Benedick Haule wa Singida Big Stars dakika ya 82 na kubadali usomaji wa ubao kwenye mchezo huo. Mpaka inagotea dakika…
KOCHA msaidizi wa Azam FC, Kali Ongala amesema kuwa wanautazama kwa umuhimu mchezo wao ujao wa ligi baada ya kupoteza dhidi ya Namungo. Katika mchezo uliopita Azam FC ilipoteza pointi tatu dhidi ya Namungo kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilipopoteza kwa kufungwa mabao 2-1. Ongala amesema kuwa watafanyia kazi makosa ambayo yamepita kupata…
UWANJA wa Liti inapigwa nusu fainali ya Azam Sports Federation ya kibabe. Singida Big Stars 0-0 Yanga kila timu ikipambana kusaka ushindi. Mshindi wa mchezo wa leo anakwenda kumenyana na Azam FC iliyotangulia katika hatua ya fainali mapema kabisa. Azam FC ilipata ushindi wa mabao 2-1 Simba mchezo uliochezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
METACHA Mnata ameanza kikosi cha kwanza kwa Yanga Uwanja wa Liti dhidi ya Singida Big Stars, mchezo wa nusu fainali, Azam Sports Federationm Wengine ni Djuma Shaban Joyce Lomalisa Bakari Mwamnyeto Doumbia Zawadi Mauya Jesus Moloko Sure Boy Mzize Aziz KI Farid Mussa
JEMBE afungukia ishu ya Jonas Mkude Simba
BENCHI la ufundi la Singida Big Stars limeweka wazi kuwa lipo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa nusu fainali Azam Sports Federation dhidi ya Yanga. Timu hiyo inayonolewana Kocha Mkuu, Hans Pluijm inapambana na mabingwa watetezi wa taji hilo Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Pluijm amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo…
MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini imegotea katika hatua ya nusu fainali katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Sare ya kufungana mabao 2-2 Wydad Casablanca Waarabu kutoka Morocco imewaondoa kwenye reli wababe kutoka Afrika Kusini. Ni mabao ya Themba Zwane dakika ya 50 na Peter Shalulile dakika ya 79 kwa upande wa Mamelodi Sundowns ilikuwa hivyo. Wydad…
ISHU ya kukosa ubingwa miaka miwli kwa Simba Jembe amvaa Mo
KAMATI ya Tuzo ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzaniam (TFF) imefanya uteuzi wa washiriki katika makundi mbalimbali ya Tuzo hizo. Ni makundi matano ambayo ni Tuzo ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake Tuzo za Ligi Kuu Bara Tuzo za Utawala Tuzo za Ligi nyingine Hizi ni…