Home Sports TUZO LIGI KUU BARA KIVUMBI TUPU,PILATO WA SIMBA V YANGA NDANI Sports TUZO LIGI KUU BARA KIVUMBI TUPU,PILATO WA SIMBA V YANGA NDANI May 20, 2023 FacebookTwitterPinterestWhatsApp KAMATI ya Tuzo ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzaniam (TFF) imefanya uteuzi wa washiriki katika makundi mbalimbali ya Tuzo hizo. Ni makundi matano ambayo ni Tuzo ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake Tuzo za Ligi Kuu Bara Tuzo za Utawala Tuzo za Ligi nyingine Hizi ni tuzo za Ligi Kuu Bara Mchezaji bora Mzamiru Yassin wa Simba Fiston Mayele wa Yanga Bruno Gomes wa Singida Big Stars Djigui Diarra wa Yanga Saido Ntibanzokiza alianza na Geita Gold sasa yupo Simba Kipa bora Aishi Manula wa Simba Diara wa Yanga Benedict Haule wa Singida Big Stars Beki bora Dickson Job wa Yanga Henock Inonga wa Simba Bakari Mwamnyeto wa Yanga Shomari Kapombe wa Simba Mohamed Hussein wa Simba Kiungo bora Bruno Gomes wa Singida Big Stars Mzamiru wa Simba Stephan Aziz KI wa Yanga Clatous Chama wa Simba Ntibanzokiza Kocha bora Nasreddine Nabi wa Yanga Hans Pluijm wa Singida Big Stars Roberto Oliveira wa Simba Mchezaji Chipukizi Clement Mzize wa Yanga Edmund John wa Geita Gold Lameck Lawi wa Coastal Union Meneja bora wa uwanja Omari Malule Uwanja wa Highland Estate, Mbeya Hassan Simba Uwanja wa Liti, Singida Amir Juma wa Uwanja wa Azam Complex Dar Kikosi bora kitatangazwa siku ya tarehe ya Tuzo Timu yenye nidhamu KMC Ruvu Shooting Tanzania Prisons Mwamuzi bora Jonesia Rukyaa kutoka Kagera Tatu Malogo kutoka Tanga Ramadhan Kayoko kutoka Dar Mwamuzi msaidizi bora Mohamed Mkono kutoka Tanga Frank Komba kutoka Dar Janeth Balama kutoka Iringa