AZAM FC YAIPIGA MKWARA SIMBA

KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni mchezo wao wa hatua ya nusu fainali dhidi ya Simba. Taji hilo la Kombe la Azam Sports Federation mabingwa watetezi ni Yanga ambao nao wametinga hatua ya nusu fainali. Itacheza na Singida Big Stars Uwanja wa Liti na mshindi wa mchezo…

Read More

KAZI BADO IPO KWENYE LIGI, HAKUNA KUKATA TAMAA

KUKATA tamaa kwenye mechi za mzunguko wa pili kwa wachezaji wa timu ambazo zimekwama kupata matokeo mazuri kwenye mechi zao iwe ni mwiko. Bado kuna kazi ya kufanya na kwenye mpira lolote linaweza kutokea kutokana na namna ambavyo timu zitajipanga kwa umakini licha ya kwamba Yanga inaongoza haina maana kwamba ligi imeshagota mwisho. Tunaona mzunguko…

Read More

YANGA HAWATAKI UTANI, KAZI IMEANZA MAPEMA

BAADA ya Yanga kukamilisha kete ya kwanza ugenini, wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wamerejea Bongo. Kwenye mchezo huo uliochezwa nchini Nigeria baada ya dakika 90 ubao ulisoma Rivers United 0-2 Yanga na mabao yote yakifungwa na Fiston Mayele. Tayari kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kimerejea…

Read More

SIMBA HESABU ZAO KWA WYDAD

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya pili dhidi ya Wydad Casablanca. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mohamed V, nchini Morocco baada ya robo fainali ya kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Wydad Casablanca. Ni Ijumaa ya…

Read More

KIPA SIMBA AWEKA REKODI YAKE MATATA

ALLY Salim kipa namba tatu wa Simba ameonesha uimara wake akiwa langoni ndani ya dakika 270 kwa kuyeyusha dakika zote hizo bila kutunguliwa hata walipokutana na watani zao wa jadi Yanga. Nyota huyo alipewa mikoba ya kipa namba moja wa Simba Aishi Manula na ile ya kipa namba mbili Beno Kakolanya kwenye mechi tatu mfululizo….

Read More

COASTAL UNION YASEPA NA POINTI TATU NA MBUZI MNYAMA

TAWI la Coastal Union la ‘Obama Camp’ la Mabokweni Tanga, limetoa zawadi ya mbuzi mmoja kuwapongeza vijana wao kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar. Ushindi huo waliupata Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Bao la ushindi lilifungwa kiufundi na Gustava Simon kwa pigo…

Read More

MAYELE ANA BALAA NA NYAVU HUYO

FISTON Mayele amefikisha jumla ya mabao 50 katika mashindano yote akiwa na kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Timu hiyo yenye maskani yake pale Jangwani inadhamiwa na kampuni ya SportPesa ambayo imeleta mapinduzi makubwa kwenye suala la michezo Bongo kwa kufungua njia kwa wadhamini wengine kuingia kuwekeza kwenye michezo. Ikumbukwe kwamba Mayele…

Read More

Shangwe Kubwa La Bodaboda Lasababishwa Na Meridianbet

Shangwe shangwe shangwe tu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar es salaam baada ya bodaboda kufikiwa na Meridianbet na kupatiwa reflectors ambazo zitawasaidia wanapoendesha pikipiki nyakati zote lakini pia kwa kushirikiana na Polisi wa usalama barabarani wameweza kufanikisha zoezi hilo. Zoezi hilo limekuja kwa kusindikizwa na kampeni ya kuvutia kabisa inayoitwa “Mtaa kwa mtaa” inayolenga…

Read More

JASHO LILIWAVUJA SIMBA DHIDI YA WYDAD

ILIKUWA roho ya mnyama kwenye ardhi ya Bongo wakati wakipambana na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Wydad Casablanca. Weka kando kutokuwepo kwa kipa namba moja Aishi Manula kutokana na kutokuwa fiti bado ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-0 Wydad Casablanca. Kazi haijaisha ugenini hatma ya Simba itajulikana ila hapa tunakudondoshea namna…

Read More

BEKI YANGA AWEKA REKODI YAKE KIMATAIFA

BEKI mzawa Bakari Mwamnyeto kwenye anga la kimataifa ana pasi mbili kàtika Kombe la Shirikisho Afrika. Pasi zote mbili alitoa akitumia mguu wa kulia nchini Nigeria ubao ulisoma Rivers United 0-2 Yanga. Pasi zote alitoa kipindi cha pili ambapo moja ilikuwa nje ya 18 na moja ndani ya 18. Pasi hizo mbili mtupiaji alikuwa ni…

Read More

KIMATAIFA KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

SIO utani kwenye kusaka ushindi kimataifa kazi ni ngumu ndani ya dakika zote 180 licha ya kuwa kila timu kufanya maandalizi mazuri. Uwanja wa Mkapa, Simba walianza kazi yao kwa kupata ushindi dhidi ya Wydad Casablanca kisha mchezo unaofuata utakuwa ugenini. Hakika kwa ushindi wa mchezo wa kwanza Simba mnapaswa pongezi huku mkitambua kuwa mna…

Read More