SIMBA YATINGA 26 BORA MBELE YA COASTAL UNION

MIKATO yake anayotembeza kimyakimya ndani ya uwanja leo Sadio Kanoute kaihamishia kwa mlinda mlango wa Coastal Union. Ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-0 Coastal Union dakika ya 56 akiwa nje ya 18 na kuwanyanyua mashabiki wa Simba kwenye mchezo huo. Coastal Union walicheza kwa kujilinda muda mwingi jambo lililowapa ugumu Simba iliyomtumia Jean…

Read More

KMC YATINGA 16 BORA KOMBE LA SHIRIKISHO

NYOTA wa KMC, Emmanuel Mvuyekule mshuti wake akiwa nje ya 18 umewapa faida mashabiki wa timu hiyo na kunyanyuka kwenye viti. Ni kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu ambapo ubao wa Uwanja wa Uhuru umesomaKMC 1-0 COPCO. Bao hilo lilipachikwa dakika tano zikiwa zimesalia kugota dakika ya 90 baada ya dakika 84…

Read More

KOMBE LA FA SIMBA 0-0 COASTAL UNION

BONGE moja ya mchezo wa hatua ya raundi ya tatu Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 0-0 Coastal Union. Timu zote mbili zina kazi ya kusaka ushindi huku Coastal Union wakionekana kuwa imara kwenye kuziba njia zote za Simba kusaka ushindi wao wakifanya mashambulizi ya kushtukiza. Nyota mpya wa Simba, Ismail Sawadogo ameonyeshwa kadi ya njano…

Read More

BALOTEL AINGIA ANGA ZA MPAPPE

2022 ulikuwa mwaka mzuri kwa ulimwengu wa soka. Ni mwaka uliojaa aina ya mabao ya ajabu na ni wakati wa kuangalia malengo haya na kuchagua bora zaidi ya kura. Wateule wa Tuzo za Puskas 2022 wametangazwa na inaangazia baadhi ya wale ambao walifanya vizuri kwenye utupiaji wa mabao. Tuzo ya Puskas ni sehemu ya mfululizo…

Read More

HIZI HAPA ZIMETINGA 16 BORA

KOMBE la Shirikisho Azam Sports Federation limezidi kuunguruma ambapo leo kuna mechi zitachezwa kusaka zile ztakazoshinda kutinga hatua ya 16 ora. Miongoni mwa mechi ambazo zinatarajiwa kuchezwa leo ni pamoja na Simba dhidi ya Coastal Union, Uwanja wa Mkapa. Kwa mechi ambazo zilichezwa jana, Januari 27, matajiri wa Dar, Azam FC walishusha kichapo kwa Dodoma…

Read More

NATHAN AKE APELEKA KILIO KWA WASHIKA BUNDUKI

BAO pekee ambalo lilipeleka kilio kwa washika bunduki Arsenal kwenye mchezo wa raundi ya 4 FA Cup lilipachikwa kimiani na nyita Nathan Ake. Kwenye mchezo huo uliokuwa unaushindani mkubwa mashabiki wa Arsenal walishuhudia dakika 45 ngoma ikiwa ni nzito kwa timu zote mbili wakiamini watafanya jambo. Ubao ulipabdilika usomaji dakika ya 64 ambapo ulisoma Manchester…

Read More

WAARABU WATUMA MASHUSHUSHU YANGA

KOCHA Mkuu wa Klabu ya US Monastir ya Tunisia, Darkov Novic ameweka wazi kuwa wanatambua wapinzani wao Yanga ni miongoni mwa timu bora katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini mipango yao ni kuhakikisha wanapata ushindi mkubwa kwa kuwa wanawajua vizuri na wamekuwa wakiwafuatilia wanapocheza. Novic ametoa kauli hiyo kuelekea katika mchezo wa kwanza…

Read More

CHELSEA KUTEKETEZA TENA BIL 101

KLABU ya Chelsea wanajiandaa kutoa ofa ya kumsajili Malo Gusto wa Lyon, kwa Euro milioni 40 (Sh bil 101.4) kwa mujibu wa ripoti mbalimbali za habari ikiwemo ESPN. Hakuna ofa rasmi iliyotolewa na Chelsea kwa Gusto, lakini tayari amekubaliana na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka sita na nusu na anataka kuhamia Stamford Bridge. Lyon…

Read More

MBAPPE ANAMTAKA BERNARDO PSG

STAA wa Ufaransa, Kylian Mbappe anataka PSG imsajili Bernardo Silva wa Man City ili kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji la klabu hiyo. Mbappe anamtaka Silva kwenda kuungana naye Parc des Princes mwishoni mwa msimu huu. Silva, 28, alimwambia Rob Dawson wa ESPN msimu uliopita wakati wa majira ya joto kwamba mustakabali wake ndani ya…

Read More

TEN HAG: UNITED WATANYANYUA TAJI MSIMU HUU

KOCHA wa Manchester United, Erik ten Hag alisema kwamba timu yake ina nafasi nzuri ya kushinda taji lao la kwanza tangu 2017 msimu huu. Ten Hag aliyasema hayo wakati wanajiandaa kwa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Carabao dhidi ya Nottingham Forest juzi ambao walishinda mabao 3-0. United imekosolewa na mashabiki wao…

Read More