BONGE moja ya mchezo wa hatua ya raundi ya tatu Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 0-0 Coastal Union.
Timu zote mbili zina kazi ya kusaka ushindi huku Coastal Union wakionekana kuwa imara kwenye kuziba njia zote za Simba kusaka ushindi wao wakifanya mashambulizi ya kushtukiza.
Nyota mpya wa Simba, Ismail Sawadogo ameonyeshwa kadi ya njano ikiwa ni ya kwanza kwenye mchezo wa leo ambapo mmoja lazima atunguliwe aondolewe kwenye mashindano haya.
Mshindi atatinga raundi ya 16 kusaka taji hilo lililo mikononi mwa Yanga.
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura