>

MITAMBO YA PENALTI SIMBA HII HAPA

 SIMBA imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2022/23 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 31. Kweye mabao hayo ni mawili yamefungwa kutokana na penalti ilikuwa dhidi ya Geita Gold ambapo mtupiaji alikuwa ni Clatous Chama. Aliyesababisha penalti hiyo ni Augustino Okra kisha penalti ya pili ilikuwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga walipocheza na Coastal…

Read More

HAZARD ASTAAFU MAJUKUMU YA TIMU YA TAIFA

EDEN Hazard nyota wa timu ya Real Madrid ameamua kustaafu kutumika majukumu ya Timu ya Taifa ya Ubelgiji baada ya timu hiyo kufungashiwa virago kwenye Kombe la Dunia hatua ya makundi huko Qatar,2022.  Nahodha huyo wa timu ya taifa amefunga jumla ya mabao 33 kwenye mechi 126 ambazo amecheza na timu hiyo tangu akiwa na…

Read More

USAJILI WA MTIBWA SUGAR UPO HIVI

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa kwa sasa unasubiri ripoti ya benchi la ufundi ili kufanikisha mpango wa kusajili wachezaji wapya. Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa wiki ijayo ambapo timu hupewa muda wa kuboresha nafasi ambazo wataona zinahitaji kuongezewa nguvu. Miongoni mwa wanaosakwa ndani ya Mtibwa Sugar ni kwenye eneo la ushambuliaji pamoja na…

Read More

NAMUNGO YAKWAMA KUTAMBA MBELE YA YANGA

NGOMA imekamilika Uwanja wa Majaliwa ubao ukisoma Namungo 0-2 Yanga ambapo wenyeji wamekwama kutamba mbele ya wageni. Namungo walizidiwa ujanja kipindi cha kwanza kutokana na makosa ya kipa Jonathan Nahimana kwenye kuokoa pigo la faulo ya Aziz KI iliyokutana na Yannick Bangala dakika ya 40. Bao la pili, Nahimana katika harakati za kuokoa shuti la…

Read More

AZAM FC NI MOTO KWENYE LIGI

KWENYE timu ambazo zimefunga kwa rekodi matata ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 huwezi kuiweka kando Azam FC. Licha ya mechi zake kuwa na ushindani mkubwa pamoja na adhabu kwa baadhi ya wachezaji kama ilivyotokea mchezo wa Azam FC 3-2 Coastal Union bado boli inatembea. Ni Ayoub Lyanga huyu ni mtambo wa mabao…

Read More

NAMUNGO 0- 1 YANGA

JONATHAN Nahimana kosa moja alilofanya dakika ya 40 limekuwa ni faida kwa Yanga ambao walimtungua bao wakati huo. Ni kazi ya Yannick Bangala ambaye alimaliza mpira uliotemwa na kipa huyo wakati akiokoa pigo la faulo iliyopigwa na Aziz KI. Namungo wanacheza mchezo wa kujilinda wakiwa Uwanja wa Majaliwa kwenye mchezo wa leo. Wamekamilisha dakika 45…

Read More

KIUNGO WA KAZI SIMBA AREJEA NA KUANZA MATIZI

NELSON Okwa kiungo wa Simba amerejea kwenye kikosi na kuanza mazoezi na wachezaji wenzake wa timu hiyo. Okwa ni ingizo jipya ndani ya kikosi cha Simba hajawa kwenye mwendo mzuri kwa kwa hakuwa fiti.  Okwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la nyonga kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda. Hakuwa kwenye mchezo uiopita wa…

Read More

HUYU HAPA MBUTUA FUKO LA MILIONI 20

BAO la kiungo wa Yanga, Feisal Salum dakika ya 89 limebutua fuko la shilingi milioni 20 ambazo waliahidiwa wachezaji wa Prisons kubeba ikiwa watashinda mchezo huo na kama wangeambulia sare milioni 10. Ahadi hiyo ilitolewa na Ofisa Masoko wa Kampuni ya Silent Ocean, Mohamed Kamilagwa ikumbukwe kwamba hao ni wadhamini wakuu wa Tanzania Prisons. Desemba…

Read More

MPOLE APEWA MKONO WA KWAHERI GEITA, MKATABA WAALIZIKA

Uongozi wa klabu ya Geita Gold umethibitisha kuwa mkataba wake na kinara wa magoli Ligi kuu ya NBC msimu wa 2021/22, George Mpole umemalizika na kwamba makubaliano ya pande zote mbili yamefikiwa kuwa Mpole yupo huru kujiunga na klabu nyingine kuanzia leo Disemba 7 2022. Geita Gold inamshukuru Mpole kwa kazi, ushirikiano na utendaji mzuri…

Read More

HIZI HAPA REKODI ZA NAMUNGO V YANGA

LEO Uwanja wa Majaliwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Namungo v Yanga unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku. Timu hizo zimekutana mara sita ambapo ni mchezo mmoja Yanga ilisepa na ushindi Uwanja wa Mkapa na mechi tano waligawana pointi mojamoja. Hizi hapa rekodi zao walipokutana kwenye msako wa pointi tatu namna hii:- Rekodi za…

Read More

KOCHA HISPANIA AKUBALI UWEZO WA BONO

 KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Hispania Luis Enrique ameweka wazi kuwa ubora wa kipa wa Timu ya Taifa ya Morocco ulikuwa mkubwa jambo ambalo lilimfanya afikirie kumbadilisha. Hispania walikuwa wanapewa nafasi kubwa ya kupata ushindi lakini mambo yakawa tofauti walikwama kupata ushindi baada ya Morocco kushinda kwa penalti 3-0 Hispania ambao walikosa penalti…

Read More

URENO YATEMBEZA DOZI IKITINGA ROBO FAINALI

TIMU ya Taifa ya Ureno imetembeza dozi kwa wapinzani wao kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora Kombe la Dunia Qatar. Bila ya uwepo wa Cristiano Ronaldo ambaye alianzia benchi na mbadala wake Goncalo Ramos kwenye mchezo wa kuwania kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Dunia mpira ulitembea. Ushindi wa mabao 6-1 walioupata dhidi…

Read More

KIUNGO MGUMU SIMBA KUIBUKIA GEITA GOLD

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa atamtumia kiungo wake mgumu kwenye mechi za ligi kwa kuwa adhabu yake itakuwa imegota mwisho. Kanoute alionyeshwa kadi mbili za njano mbele ya Coastal Union, Desemba 3,2022 ubao uliposoma Coastal Union 0-3 Simba ile ya kwanza alionyeshwa dakika ya 40 na ya pili alionyeshwa dakika ya 90….

Read More