
KIKOSI CHA IHEFU V YANGA
KIKOSI cha Ihefu leo kinawakaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni. Kwenye kikosi ambacho kimetolewa kwa Ihefu jeshi la kazi lipo namna hii:- Mapara, Nicolas Wadada Mwasapili Nyosso Kissu Onditi Loth Tigere Mahundi yeye ni nahodha Mwalyanzi Jaffary Kibaya