IHEFU WAIVUNJA REKODI YA YANGA KWENYE LIGI

 WAKULIMA kutoka Mbeya, Ihefu FC wamevunja mwiko wa Yanga kuendelea kucheza mechi za ligi bila kufungwa baada ya kupata ushindi wa mabao 2-1. Wakiwa Uwanja wa Highland Estate, Ihefu walianza kutunguliwa bao kipindi cha kwanza kupitia kwa kiraka Yanick Bangala dakika ya 8. Ni Nivere Tigere aliweka usawa dakika ya 38 na kuwafanya waende mapumziko…

Read More

KOCHA KMC ATAJA WANAPOKWAMA

KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa wanashindwa kupata matokeo mazuri kwenye mechi ambazo wanacheza kutokana na wachezaji wake wengi wa kikosi cha kwanza kutokuwepo kikosini. KMC mchezo wake uliopita wa ligi ubao wa Uwanja wa Uhuru ulisoma KMC 0-0 Prisons na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Kocha huyo ameweka wazi anaamini wachezaji wake wakipona…

Read More

IHEFU 1-1 YANGA

UBAO wa Uwanja Highland Estate dakika 45 unasoma Ihefu 1-1 Yanga ambapo kila timu imepata bao moja ambalo linawapeleka kwenye mapumziko. Ni Yanga walianza kupata bao kupitia kwa Yannick Bangala dakika ya 8 ambaye alipachika bao kwa kichwa akitumia pasi ya Lomalisa. Kwa upande wa Ihefu bao lao lilipatikana kupitia kwa Tigere dakika ya 43…

Read More

KIKOSI CHA IHEFU V YANGA

KIKOSI cha Ihefu leo kinawakaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni. Kwenye kikosi ambacho kimetolewa kwa Ihefu jeshi la kazi lipo namna hii:-  Mapara, Nicolas Wadada Mwasapili Nyosso Kissu Onditi Loth Tigere Mahundi yeye ni nahodha Mwalyanzi Jaffary Kibaya

Read More

NYOTA HAWA YANGA KUIKOSA IHEFU

KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison anatarajiwa kuukosa mchezo wa leo dhidi ya Ihefu utakaochezwa Uwanja wa Highland Estate. Nyota huyo ataungana na wachezaji wengine ikiwa ni pamoja na Feisal Salum, Heritier Makambo ambao hawajawa fiti. Nyota hawa walikosekana pia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City wakati timu hiyo ilipoibuka na ushindi wa mabao…

Read More

PHIRI KAVUNJA REKODI MBOVU SIMBA

MOSES Phiri nyota wa Simba amevunja rekodi yake ya kushindwa kufunga nje ya Dar kwenye mechi za ligi ambazo alicheza msimu huu wa 2022/23. Kibindoni Phiri ana mabao 8 ambapo sita alifunga Uwanja wa Mkapa aliwafunga bao mojamoja Geita Gold,Kagera Sugar,KMC,Dodoma Jiji, Mtibwa Sugar na Namungo. Nje ya Dar ilikuwa dhidi ya Tanzania Prisons, ubao uliposoma Prisons…

Read More

YANGA:MECHI DHIDI YA IHEFU NI NGUMU

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mechi yao dhidi ya Ihefu ni ngumu kuliko mchezo wa Dabi. Leo Yanga ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate. Yanga imetoka kushinda mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City na mabao yote yalifungwa…

Read More