IHEFU YAAMBULIA POINTI LIGI KUU BARA

IKIWA Uwanja wa Highland Estate, leo Oktoba 4,2022 Klabu ya Ihefu imekusanya pointi moja kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mwambusi kwenye mechi nne mfululizo ilipoteza mechi zake na mchezo wake wa mwisho kabla ya leo ilifungwa mabao 2-1 KMC. Sare ya kufungana bao 1-1 dhidi…

Read More

MUHIMU KWA WAAMUZI KUSIMAMIA SHERIA

WAAMUZI ni sehemu muhimu kwenye mchezo hasa kutokana na kusimamia sheria 17 za mpira ambao unafuatiliwa na watu wengi duniani. Ipo wazi kuwa Ligi Kuu Tanzania Bara imekuwa kwenye ushindani mkubwa na kila siku hatua moja inapigwa kuyafuata matokeo. Kwa waamuzi wale ambao wamekuwa wakishindwa kutafsiri sheria za mpira ni muhimu kujifunza kupitia makossa ili…

Read More

HIZI HAPA KUCHEZA LEO LIGI KUU BARA

OKTOBA 4, Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea ambapo mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa. Polisi Tanzania ina pointi mbili wao watamenyana na Geita Gold wenye pointi tatu, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Ihefu wao hawana pointi wao watamenyana na Geita Gold yenye pointi tatu, Uwanja wa Highland Estate.

Read More

IHEFU KIBARUANI TENA LIGI KUU BARA

JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa makosa ambayo wameyafanya kwenye mechi zao zilizopita watafanyia kazi ili kupata matokeo mazuri. Ihefu haijaanza kwa kufanya vizuri kwenye mechi za mwanzo ndani ya msimu wa 2022/23. Ikiwa imecheza mechi 4 haijakusanya pointi zaidi ya kuishia kupoteza mechi zote nne ikiwa nafasi ya 16 kwenye msimamo wa…

Read More

MABAO SITA YAKUSANYWA KWENYE MECHI TATU

MABAO 6 yalikusanywa kwenye mechi tatu za Ligi Kuu Bara zilizochezwa Oktoba 4,2022 katika msimu wa 2022/23. Mchezo uliokusanya mabao mengi ulikuwa ni ule Ruvu Shooting 1-2 Yanga ikiwa ni mabao matatu kwenye mchezo mmoja. Watupiaji kwenye mchezo huo ni Feisal Salim dakika ya 52 na Bakari Mwamnyeto dakika ya 71 lile la Ruvu Shooting…

Read More

CHAMA MGUU WAKE WA KULIA NI SHIDA TUPU

CLATOUS Chama kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji, pasi zake asilimia 88 alitumia kutoa kwa mguu wa kulia. Jumla nyota huyo alitoa pasi 87, alitumia mguu wa kushoto kutoa pasi 7 na ule wa kulia alitumia kutoa pasi 87. Mguu wake wa kulia una shida kubwa katika matumizi akiwa uwanjani kwa…

Read More

MASTAA WAWILI GEITA KUIKOSA POLISI TANZANIA

 KITASA wa kazi ndani ya Geita Gold, Kelvin Yondani anatarajiwa kuukosa mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi Polisi Tanzania. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Oktoba 4,2022, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Sababu kubwa ya kuukosa mchezo wa leo ni matatizo ya kifamilia ambayo anakabiliwa nayo. Mbali na Yondani pia staa mwingine Ibrahim Seleman…

Read More