MZEE WA KUCHETUA KARUDI, KUWAKOSA SIMBA

KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison amezidi kuwa imara hali yake na tayari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambao waligawana pointi mojamoja. Ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 2-2 Azam FC na Morrison aliyeyusha dakika 90 lakini…

Read More

UBABE UBABE TU MTWARA, KIDUKU, MANDONGA MTU KAZI KAZINI

MASAA machache yamesalia kutoka hivi sasa leo Jumamosi Septemba 24, 2022 mabondia Twaha Kiduku na Abdo Khaled raia wa Misri kupanda ulingoni kuwania mkanda wa UBO Intercontinental kutoka Mtwara Ubabe Ubabe linalotarajia kupigwa kwenye Uwanja wa Nangwanda wa Sijaona mkoani Mtwara. Kiduku na Khaled wa wamepima uzito na tayari kwa pambano hilo la uzani wa…

Read More

U 23 YATOSHANA NGUVU NA SUDAN KUSINI AZAM COMPLEX

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 23 leo Septemba 23 kimelazimisha suluhu dhidi ya Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo wageni Sudan Kusini walicheza kwa umakini wakitumia mbinu ya kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. U 23 ilianza…

Read More

MAYELE ATOA KAULI YA KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema yeye na wachezaji wenzake hawana presha kuhusu mchezo wa raundi ya pili ya mtoano dhidi ya Al Hilal ya Sudan Kaskazini. Mayele ametoa kauli hiyo kwa kujiamini akisema ni halali yao kuingia makundi katika michuano ya Kombe la Mabingwa Afrika kwani wana wachezaji wazuri na wanajiamini, hivyo hawana presha…

Read More

WINGA DEMBELE ASIMULIA ALIVYOPOTEZA MIAKA MITANO

WINGA wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Ufaransa Ousmane Dembele amefunguka juu ya maumivu aliyoyapitia katika miaka yake mitano ya awali akiwa na kikosi chake cha Barcelona. Dembele ambaye kwa sasa yupo na kikosi cha Taifa cha Ufaransa kinachoshiriki michezo ya Uefa Nations amefunguka akidai kuwa miaka yake mitano ya awali akiwa…

Read More

YANGA WAIPIGIA HESABU AL HILAL

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wameona ubora wa wapinzani wao Al Hilal ya Sudan hivyo watafanya maandalizi mazuri kupata matokeo. Nabi amesema ameona ubora wa Al Hilal ambao ameuficha kwa kukataa kuuweka wazi kwa kuhofia wapinzani kushtuka, zaidi akipanga kukiimarisha zaidi kikosi chake ili kuhakikisha anapata ushindi nyumbani na ugenini. “Mimi ni…

Read More

MECHI MBILI ZA KIRAFIKI SIMBA KUCHEZA ZANZIBAR

MECHI mbili za kirafiki watacheza wakiwa Zanzibar watanza na Kipanga, Septemba 25 na Septemba 28 watacheza dhidi ya Malindi. Mechi hizi za kirafiki ni kutokana na mwaliko ambao wameupata kutoka Shirikisho la Soka la Zanzibar, (ZFF). Meneja wa Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mechi zote zitachezwa saa moja usiku na itakuwa…

Read More

LIGI YA MATAIFA YA ULAYA INAENDELEA NA MERIADIANBET WAMEJIPANGA KUTOA PESA KWA AJILI YAKO

Baada ya Ligi nyingi kusimama sasa moto umehamia kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Mataifa ya Ulaya yatakuwa uwanjani kuhakikisha heshima ya nchi inasimama na mashabiki wanapata burudani ya soka safi, Meridianbet hawajakusahau wanamtonyo wako.   Macho ya wapenzi wa soka hayatakuwa na ukungu usiku wa Alhamisi, wakati kijana wa Kifaransa Kylian Mbappe akiwa mstari…

Read More

TAIFA STARS KUSUKWA UPYA KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars,Honour Janza, amesema kuwa mechi za kirafiki za kimataifa zilzio kwenye Kalenda ya FIFA zitampa mwanga wa kusuka kikosi imara kwa ajili ya ushindani.  Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Uganda na Libya na zitachezwa nchini Libya na tayari kikosi hicho kimeshatua nchini…

Read More

KIMATAIFA STARS FANYENI KWELI

MVURUGANO ambao huwa unapatikana baada ya matokeo yasiyotarajiwa kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania kwenye benchi la ufundi pamoja na wachezaji huwa unakuwa sio wa kawaida. Hii inatokea kwa sababu kila mmoja anapoingia uwanjani mpango wake ni kuona timu inapata matokeo na pale inaposhindikana. Uzuri ni kwamba mchezo wa mpira ni mchezo wa…

Read More