MALINDI YAWAIBUA KAPAMA NA BANDA, KESHO KAZI NYINGINE

PETER Banda na Nassoro Kapama wameibuliwa na Malindi FC kwenye mchezo wao wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Kwenye mchezo huo uliochezwa juzi, ubao ulisoma Malindi0-1 Simba huku bao la ushindi likifungwa na Nassoro Kapama dakika ya 13. Bao hilo ni la kwanza kwa Kapama ambaye ameibuka ndani ya Simba akitokea Kagera Sugar na…

Read More

YANGA WATAMBA WANAPIGA POPOTE

HUKU wengi wakiamini Yanga SC kuanzia nyumbani katika mchezo wa hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal itawazuia kufuzu hatua ya makundi, kocha msaidizi wa timu hiyo, Cedric Kaze ameibuka na kushusha presha kwa kusema kikosi chao kinaweza kupata ushindi popote. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, wamefuzu…

Read More

SIR FERGUSON ALIKUWA ANAWAITA ARSENAL ‘WATOTO’

 RIO Ferdinand amefichua kuwa Sir Alex Ferguson alikuwa akiwaita Arsenal, ‘Watoto’ili kuamsha ari ya wachezaji wake wa Manchester United wakawachape wanapokutana. Beki huyo wa zamani wa Man United amefichua kuwa Fergie daima alikuwa anawaambia wachezaji wake kuwa ‘nendeni mkawafunge watototo hao’ wakati akizungumza nao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Ferdinand alisema:”Sir Alex Ferguson alikuwa akisema…

Read More

MRITHI WA SENZO YANGA ATAMBULISHWA

UONGOZI wa Yanga leo Septemba 27,2022 umemtangaza Adre Mtine kutoka Zambia kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu hiyo. Ni mkataba wa miaka miwili CEO huyo amepewa kufanya kazi ndani ya Yanga ambapo utambulisho wake umefanywa na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said. Anakuja kuchukua mikoba ya Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini ambaye mkataba…

Read More

MZAMIRU YASSIN AINGIA KWENYE VITA MATATA SIMBA

MASTAA watatu wa kikosi cha Simba wameingia kwenye fainali ya kuwania tuzo ya mchezaji bora kwa mwezi Septemba. Nyota hao wanawania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) ambapo mshindi huchaguliwa na mashabiki. Ni mshambuliaji Moses Phiri na kiungo Clatous Chama hawa wote ni raia wa Zambia pamoja…

Read More

NABI AWAPA MAAGIZO WACHEZAJI WAKE

KWENYE Ligi Kuu Bara, ukuta wa Yanga unaoongozwa na nahodha Bakari Mwamnyeto umeruhusu mabao matatu ya kufungwa huku safu ile ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 9. Kwa sasa Yanga ipo kwenye maandalizi ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hila unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Oktoba 8,2022…

Read More

DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna…

Read More