SAUTI: ALLY KAMWE RASMI OFISA HABARI YANGA
RASMI Ally Kamwe ametambulishwa ndani ya Yanga kwenye idara ya Habari na Mawasiliano
RASMI Ally Kamwe ametambulishwa ndani ya Yanga kwenye idara ya Habari na Mawasiliano
PETER Banda na Nassoro Kapama wameibuliwa na Malindi FC kwenye mchezo wao wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Kwenye mchezo huo uliochezwa juzi, ubao ulisoma Malindi0-1 Simba huku bao la ushindi likifungwa na Nassoro Kapama dakika ya 13. Bao hilo ni la kwanza kwa Kapama ambaye ameibuka ndani ya Simba akitokea Kagera Sugar na…
VIJANA wapya wa Yanga kazini Ally Kamwe na Privadinyo kwenye idara ya Habari na Mawasiliano wametambulishwa rasmi leo Septemba 27. Kamwe ni mchambuzi na mwandishi wa Habari za Michezo sawa na ilivyo kwa Privadiny ambao wote ni familia ya waandishi wa Habari. Pia Haji Mfikirwa yeye atakuwa kwenye kitengo cha fedha wakiwa pamoja na Mtendaji…
HAJI Mboto, shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa beki wa Simba Henock Inonga ikionekana ameitwa na Kamati ya Masaa 72 itawafanya waweze kuona kwambwa inaonyesha ameitwa na hilo litawafanya wachezaji wawe na hofu huku akibainisha kuwa waamuzi ni wanadamu wakikosea wanasemwa kwa kuwa wanakosea
MTAZAME Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari Simba, ‘Semaji la CAF’likifanya utalii wa ndani Zanzibar
MBOTO shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa utaalamu zaidi unafanyika ndani ya Yanga ikiwa ni pamoja na suala la Ofisa Habari huku akimtaja Ally Kamwe na amebanisha kuwa Yanga imekuwa ikifanya mazoezi yake Kigamboni na mechi za kirafiki zinachezwa kwa mujibu wa ratiba
MBOTO shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa Kocha Mgunda anapaswa kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa akifungwa kuna nyimbo huwa wanaimbiwa, amebainisha kuwa Juma Mgunda atafukuzwa tena na makofi kwa kuwa mashabiki wa Simba wameumbiwa hasira
INAELEZWA kuwa Robertinho Oliviera raia wa Brazil ametuma CV zake kuomba kazi ya kuifundisha Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda
HUKU wengi wakiamini Yanga SC kuanzia nyumbani katika mchezo wa hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal itawazuia kufuzu hatua ya makundi, kocha msaidizi wa timu hiyo, Cedric Kaze ameibuka na kushusha presha kwa kusema kikosi chao kinaweza kupata ushindi popote. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, wamefuzu…
LEO Septemba 27, Yanga imemtambulisha CEO mpya ambaye ni Andre Mtine na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said amebainisha kuwa kocha huyo ana uzoefu mkubwa wa mechi za kimataifa
RIO Ferdinand amefichua kuwa Sir Alex Ferguson alikuwa akiwaita Arsenal, ‘Watoto’ili kuamsha ari ya wachezaji wake wa Manchester United wakawachape wanapokutana. Beki huyo wa zamani wa Man United amefichua kuwa Fergie daima alikuwa anawaambia wachezaji wake kuwa ‘nendeni mkawafunge watototo hao’ wakati akizungumza nao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Ferdinand alisema:”Sir Alex Ferguson alikuwa akisema…
Dar-es salaam: Kampuni ya Meridianbet Tanzania, Jumatatu hii tarehe 26 Septemba 2022, walitembelea hospitali ya Madale na kutoa vifaa vya usafi na vifaa tiba katika hospitali ya hiyo ambayo inapatikana Tegeta, Kata ya Wazo. Timu ya Meridianbet ilifunga safari hadi hospitali hiyo, ikiongozwa na Twaha Ibrahim ambaye ni Afisa Masoko wa Kampuni. Timu hii ilikaribishwa…
UONGOZI wa Yanga leo Septemba 27,2022 umemtangaza Adre Mtine kutoka Zambia kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu hiyo. Ni mkataba wa miaka miwili CEO huyo amepewa kufanya kazi ndani ya Yanga ambapo utambulisho wake umefanywa na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said. Anakuja kuchukua mikoba ya Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini ambaye mkataba…
MASTAA watatu wa kikosi cha Simba wameingia kwenye fainali ya kuwania tuzo ya mchezaji bora kwa mwezi Septemba. Nyota hao wanawania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) ambapo mshindi huchaguliwa na mashabiki. Ni mshambuliaji Moses Phiri na kiungo Clatous Chama hawa wote ni raia wa Zambia pamoja…
KWENYE Ligi Kuu Bara, ukuta wa Yanga unaoongozwa na nahodha Bakari Mwamnyeto umeruhusu mabao matatu ya kufungwa huku safu ile ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 9. Kwa sasa Yanga ipo kwenye maandalizi ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hila unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Oktoba 8,2022…
IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna…
Mgunda ajilipua Simba, Nabi awaingiza chaka Wasudan ndani ya Spoti Xtra Jumanne