PUMZIKA KWA AMANI DAMIANO KOLA MZAZI WA RODGERS WA AZAM

JANA Juni 12,2022 ilikuwa ni safari ya mwisho duniani ya baba mzazi wa mashambuliaji wa Azam FC, Rodgers Kola aitwaye Damiano Kola Senior. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu, mahala pema peponi. Amen. Taarifa ya kutangulia kwa haki kwa mzazi huyo wa Kola ilitolewa na Azam FC Juni 10,2022. Msimu huu mshambuliaji huyo amekuwa kwenye ubora wake…

Read More

FARID MUSSA AONGEZA DILI JIPYA YANGA

FARID Mussa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ameweza kuongeza kandarasi mpya kuendelea kuitumikia timu hiyo. Leo Juni 13,2022 Yanga wameachia picha ya nyota huyo akiwa na Injinia Hersi Said na kusindikiza na maneno haya:”Kiraka Farid Mussa bado yupoyupo sana,”. Kiraka huyo bado yupoyupo ndani ya Yanga baada ya kuongeza dili jingine la…

Read More

SIMBA YAPATA TUZO,YAWAPOTEZA YANGA

LEO Juni13,2022 Klabu ya Simba imeweza kupewa tuzo yake baada ya kuwapoteza wapinzani wao wa jadi Yanga kwenye mchakato wa kura. Ni Tuzo ya Klabu Bora kwenye Mitandao ya Kijamii Tanzania ambayo imetolewa na kampuni ya Serengeti Bytes. Mbali na watani zao wa jadi Yanga pia Simba imeweza kuwashinda kwa kura Azam FC, Mbeya City, Ruvu…

Read More

YANGA KUMENYANA NA COASTAL UNION USIKU

 MCHEZO wa Yanga v Coastal Union unatarajiwa kuchezwa kesho, Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa timu zote mbili kuweza kuingia uwanjani kusaka pointi tatu. Ikiwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ikishinda mchezo huo basi inakuwa imeweza kujihakikishia lengo la kutwaa ubingwa wa ligi. Vinara hao wa ligi kwa sasa wana pointi 64 kama wakishinda watafikisha…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO LEO

 LEO Juni 13 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea baada ya mapumziko kwa ajili ya mechi za kuwania kufuzu Afcon 2023 zinazotarajiwa kufanyika nchini Ivory Coast. Ni mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa leo ikiwa ni mzunguko wa pili na wa kufungia hesabu kwa msimu wa 2021/22. Mtibwa Sugar itawakaribisha Ruvu Shooting itakuwa ni Uwanja wa Manungu. Mchezo…

Read More

GLOBAL FC YATOSHANA NGUVU NA BONGO MOVIES

TIMU ghali Bongo ya Global FC inayomilikiwa na Kampuni ya Global Group iliweza kuonyesha ubabe wake mbele ya timu ya Bongo Movie kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Shule ya Msingi Muhimbili jana. Kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili ulichezwa mchezo mkubwa ambapo Global FC walianza kupata bao la…

Read More

MCHONGO MZIMA WA AZIZ KI UMECHORWA NAMNA HII

SAKATA la usajili wa kiungo mshambuliaji raia wa Burkina Faso, Stephen Aziz Ki, limezidi kuteka hisia za wapenda soka wengi hapa nchini, baada ya vigogo Simba SC na Yanga SC kuhusishwa naye. Kiungo huyo anayetumia zaidi mguu wa kushoto awapo uwanjani, inaelezwa kwamba tayari amemalizana na Yanga ambayo imetumia kiasi cha shilingi milioni 650 kumpa…

Read More