TANZANIA YAFUNZU KOMBE LA DUNIA

TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti Girls leo Juni 5,2022 imeweza kukata tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 1-0 Cameroon. Mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Amaan,Zanzibar ulikuwa ni wa marudio baada ya ule wa kwanza ugenini Tanzania kushinda mabao 4-1. Cameroon walikuja leo kwa mpango wa…

Read More

SIMBA KUMSHUSHA MSHAMBULIAJI HUYU WA KAZI

IMEELEZWA kuwa Sh 800Mil alizoweka Rais wa Heshima wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ kwa ajili ya usajili, zimeanza na mshambuliaji wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini, Kwame Peprah, raia wa Ghana. Simba imekuwa kwenye mazungumzo ya muda mrefu na Mghana huyo ambaye inaelezwa mkataba wake unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Timu hiyo imepanga kukiimarisha…

Read More

UWANJA WA AMAAN:TANZANIA 0-0 CAMEROON

LEO Juni 5,2022 timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17 inacheza mchezo wa marudio kuweza kuwania kufuzu Kombe la Sunia. Mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini, U 17 ya Tanzania ilishinda kwa mabao 4-1 hivyo leo wanakamilisha dk 90 za mchezo wa pili. Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika na imekuwa Tanzania U…

Read More

POGBA KUVUTA MKWANJA MREFU UNITED

IMEFICHUKA kuwa Paul Pogba ataondoka na bonasi ya pauni milioni 3.78 (Sh bilioni 11) atakapoachana na Manchester United mara baada ya mkataba wake kufikia tamati mwishoni mwa mwezi huu. United ilithibitisha kuwa kiungo huyo Mfaransa ataondoka Old Trafford mkataba wake utakapomalizika Juni 30, huku pia ikithibitishwa kuwa Jese Lingard naye anasepa. Licha ya kuwa na…

Read More

STARS YAREJEA KUANZA KUIPIGIA HESABU ALGERIA

BAADA ya kupata pointi moja ugenini Jana Juni 4,2022 leo Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, imewasili Dar kupitia Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere wakitokea Cotonou, Benin walipokuwa kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu AFCON. Kwenye mchezo huo dhidi ya Niger ulimalizika kwa sare ya kufungana bao 1-1 na kuwafanya Stars kupata pointi moja….

Read More