MADRID YASHINDA KIMAAJABU LIGI YA MABINGWA ULAYA

KLABU ya Real Madrid imeonyesha uimara wake kwa kupata ushindi wa maajabu katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kupindua matokeo mbele ya Manchester City. Sasa Real Madrid inakwenda kukutana na Liverpool kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Liverpool huku Karim Benzema akifunga penalti ya ushindi kwa Real Madrid…

Read More

RUVU SHOOTING YAIBANA MBAVU YANGA

MABINGWA mara 27 wa Ligi Kuu Bara, Yanga kwa kutoshana nguvu bila kufungana ndani ya dakika 90. Ulikuwa ni mchezo wa matumizi ya nguvu na akili kwa wachezaji wote wa timu mbili kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Fiston Mayele, Heritier Makambo na Ngushi utatu huu ulikwama kuitungua Ruvu Shooting kwenye mchezo huo kwa kushindwa…

Read More

ISHU YA INONGA NA MAYELE YAJADILIWA NA KOCHA YANGA

ALIYEWAHI kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka la Vijana, Mkongomani, Mwinyi Zahera, amefunga mjadala wa ubora wa mshambuliaji Fiston Mayele na beki wa Simba, Henock Inonga. Hiyo ni baada ya wachezaji hao kuzua mjadala mara baada ya mchezo wa Kariakoo Dabi uliozikutanisha Yanga dhidi ya Simba ambao ulichezwa…

Read More

NAHODHA YANGA ASAINI MIAKA MIWILI

NAHODHA na beki wa kati tegemeo ndani ya Yanga, Bakari Mwamnyeto, ameongeza mkataba wa miaka miwili wenye thamani inayotajwa kufikia shilingi milioni 200 kuendelea kukipiga Jangwani. Beki huyo ameongeza mkataba kuendelea kuichezea timu hiyo, baada ya ule wa awali wa miaka miwili kutarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Mwamnyeto ni kati ya mabeki waliokuwa wakitajwa…

Read More

YANGA YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA RUVU SHOOTING

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanahitaji kushinda kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ruvu Shooting ili kuweza kupata pointi tatu muhimu. Vinara hao wa ligi wenye pointi 55 wanatarajiwa kushuka uwanjani leo kusaka pointi tatu kama ambazo zinasakwa na Ruvu Shooting saa 10:00 jioni, Kaze ameweka wazi kwamba mchezo wa leo utakuwa…

Read More

MASTAA SITA SIMBA KUPIGWA ‘PANGA’ MAZIMA

KATIKA kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara watakachokitumia katika michuano ya kimataifa msimu ujao, Simba SC imepanga kuachana na wachezaji sita wa kigeni mwishoni mwa msimu huu ambao mikataba yao inamalizika. Hiyo ni katika kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kitakachofanikisha malengo yao ya kufika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa Afrika inayosimamiwa na Shirikisho…

Read More

USHINDI MUBASHARA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!

Mchezo wa Blackjack Live Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia  kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana…

Read More

NAMUNGO YAIBANA MBAVU SIMBA

KIKOSI cha Namungo leo Mei 3,2022 kimeibana mbavu Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kwa kupata sare ya kufungana mabao 2-2. Ngoma imechezwa Uwanja wa Ilulu ambapo Namungo walianza kwa kasi kubwa kusaka ushindi na waliwatangulia Simba. Ilikuwa dk ya 7 kupitia kwa Jacob Masawe aliyepachika bao hilo kwa kichwa kisha likawekwa usawa na…

Read More

KAZE:TUTAPAMBANA KUPATA POINTI TATU

CEDRICK Kaze,Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa kwa mechi ambazo zimebaki watapambana kupata pointi tatu muhimu kwa kuwa walizikosa zile za Simba. Kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Aprili 30,2022 Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 0-0 Simba hivyo watani hao wa jadi waligawana pointi tatu. Akizungumza na Saleh Jembe,Kaze amesema kuwa wana kazi kubwa ya…

Read More

NAMNA YANGA NA SIMBA WALIYVOWAPA MKWANJA TFF

 KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imetoa adhabu baada ya kupitia matukio ambayo yalikuwa kwenye mechi zilizochezwa hivi karibuni. Hii ni kwenye Ligi Kuu Bara, Championship na kuna timu ambazo zilikutwa na hatia kisha zikapigwa adhabu kutokana na makossa ambayo waliyafanya. Ripoti inaonyesha kwamba Yanga imepigwa faini y ash.2,000,000 kwa…

Read More

YANGA KUINGIA KAZINI KWA MARA NYINGINE TENA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi kesho Mei 4 kinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting. Tayari kikosi hicho kimewasili salama Kigoma na kupokelewa kwa shangwe kubwa na mashabiki ambao walijitokeza jana Mei 2. Ni mchezo wa mzunguko wa pili baada ya ule wa kwanza Yanga kushinda mabao 3-1 Uwanja…

Read More

SIMBA KUIKABILI NAMUNGO WAKIWA NA HOFU

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo Mei 3 wana kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo huku wakiwa na hofu kuhusu mchezo wa leo. Mchezo huo ni wa ligi ikiwa ni mzunguko wa pili ambapo wababe hao wanatarajiwa kuwa kwenye msako wa pointi tatu kama itakavyokuwa kwa Namungo. Ikumbukwe kwamba mchezo…

Read More

KIBWANA,SAIDO BADO HAWAJAPEWA MIKATABA

WAKATI wachezaji Kibwana Shomari na Saido Ntibazonkiza wakiwa wanafanya vyema ndani ya Yanga, habari mbaya zaidi kwa upande mwingine ni kuwa wachezaji hao bado hawajapewa mikataba mipya huku ile ya awali ikiwa inatamatika hivi karibuni. Saido na Kibwana, wote wamekuwa katika sehemu ya kikosi cha kwanza cha timu hiyo cha kocha mkuu Mtunisia, Nasreddine Nabi,…

Read More

FULHAM YAGAWA KIFURUSHI CHA WIKI

KLABU ya Fulham imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Uingereza maarufu kama Championship. Fulham imechukua Ubingwa huo ikiwa katika Uwanja wake wa nyumbani Craven Cottage kwa kuichakaza Luton kwa jumla ya mabao 7-0. Fulham iliyoshuka daraja msimu uliopita kwa matokeo hayo sasa inapanda daraja na kurudi katika Ligi Kuu nchini Uingereza. Imecheza jumla…

Read More