>

MASTAA SENEGAL WAITAKA AFCON

SADIO Mane na Edouard Mendy wamesema kuwa Senegal wamepania kutwaa ubingwa wa Afcon 2021 ili kumpunguzia presha kocha wao Aliou Cisse. Senegal ambao walifika fainali katika Afcon iliyopita ya 2019 walikuwa miongoni mwa timu zilizopewa nafasi ya kuweza kufika fainali mwanzoni kabisa mwa mashindano haya. Ilishinda mechi ya kwanza kwa tabu dhidi ya Zimbabwe kisha…

Read More

AUBA:TATIZO NI ARTETA

PIERRE Emerick Aubameyang amethibitisha kwamba Kocha Mkuu, Mikel Arteta ndiyo sababu ya yeye kuondoka ndani ya Arsenal ambao wataendelea kumlipa pauni 230,000 kwa wiki hadi msimu huu. Auba alitangazwa kuwa mchezaji mpya wa Barcelona juzi baada ya kukamilisha usajili wake akiwa huru. Kabla ya kuvunja mkataba wake uliomuweka huru, Arsenal ilikubaliana naye kumlipa pauni milioni…

Read More

MORRISON ATAJWA KUIBUKIA YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison amemamisha kwa muda hadi suala lake la kinidhamu litakapo patiwa ufumbuzi. Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya klabu hiyo, Morrison amekuwa na tabia ya kutoka kambini bila ruhusa kinyume na taratibu Aidha ametakiwa kutoa maelezo ya maandishi kwa Mtendaji Mkuu…

Read More

NDEMLA MAMBO MAGUMU MTIBWA SUGAR

KIUNGO wa Mtibwa Sugar, Said Ndemla mambo kwake yamekuwa magumu ndani ya Mtibwa Sugar kwa sasa kwa kwa tangu alipofunga bao Desemba 12/2021 mpaka leo hajaweza kufurukuta tena kwa kufunga wala kutoa pasi ya bao. Ndemla upo hapo kwa mkopo ambapo alijiunga na timu hiyo akitokea kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco….

Read More

SIMBA QUEENS YAPIGA KIFURUSHI CHA WIKI

SIMBA Queens imesepa na ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya JKT Queens katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mo Simba Arena uliopo Bunju. Miongoni mwa waliotupja ni pamoja na Joel Bukulu ambaye alitupia bao moja kwa mkwaju wa penalti. Pia Opa Clement alitupia mabao mawili katika mchezo wa leo na anafikisha mabao 17 kibindoni. JKT Queens…

Read More

SIMBA QUEENS KUVAANA NA JKT QUEENS LEO

SIMBA Queens leo Februari 4 inatarajiwa kuwa na mchezo wa kusaka pointi tatu mbele ya JKT Tanzania. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Bunju Complex. Ni saa 10:00 jioni mchezo unatarajiwa kuchezwa kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu. Simba Queens mchezo wake uliopita ilikuwa dhidi ya Mlandizi Queens…

Read More

PRISONS KUJIPANGA UPYA

BAADA ya jana kupoteza mbele ya Simba kwa kufungwa bao 1-0 na kuyeyusha pointi tatu muhimu, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons amesema kuwa watajipanga upya. Kazumba Shaban amebainisha kwamba mpango wao ulikuwa ni kupata pointi tatu ila walipoteza mchezo huo kwa bao la penalti. “Hesbu zetu ilikuwa ni kushinda mchezo wetu mbele ya Simba lakini…

Read More

CHEKI DAKIKA 360 ZA MOTO YANGA FEBRUARI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga kwa sasa ana dakika 360 za moto kusaka ushindi kwenye mechi za ushindani zinazotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya Februari. Ikiwa inaongoza ligi na pointi zake 35 baada ya kucheza mechi 13 inakigongo cha moto Februari 5, Uwanja wa Mkapa itakuwa dhidi ya Mbeya City. Mbeya City imekuwa…

Read More

TANZANITE KATIKA KIBARUA KIZITO LEO

LEO Februari 4,2022 timu ya taifa ya Wanawake chini ya miaka 20, Tanzanite itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Ethiopia. Hii ni mechi ya pili ya kuwania kucheza Kombe la Dunia. Katika mechi ya kwanza mjini Zanzibar wiki mbili zilizopita, Tanzanite waliibuka na ushindi wa bao 1-0. Mechi ya leo ni ushindi au…

Read More

MORRISON,ONYANGO MIKATABA YAO YAWEKWA KANDO SIMBA

MAMBO ni magumu kwa sasa ndani ya Simba kutokana na mwendo wa kusuasua hasa kwenye matokeo waliyopata kwenye mechi tatu mfululizo ugenini jambo lililofanya mikataba ya mastaa wengi kuwekwa kando. Habari kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya Simba zimeeleza kuwa kwa sasa hakuna mchezaji hata mmoja ambaye ameitwa kufanya mazungumzo kuhusu kuongeza mikataba yao ili waweze kuhudumu ndani ya kikosihicho. Miongoni mwa mastaa ambao mikataba yao inatarajiwa…

Read More

RATIBA YA LEO LIGI KUU BARA

AZAM FC itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Dodoma Jiji kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Azam Complex. Azam FC ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 21 inakutana na Dodoma Jiji iliyo nafasi ya 8 na pointi 17. Kesho Februari 4 kutakuwa na mchezo kati KMC v Biashara United. Mchezo…

Read More

TANZANIA YAINGIA 10 BORA

SHIRIKISHO la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limetangaza orodha ya Ligi Bora duniani kwa mwaka 2021, ambapo Ligi Kuu ya Brazil (Serie A) imeshika nafasi ya kwanza. Ligi Kuu Tanzania imepanda kwa nafasi tisa (9) kutoka nafasi ya 71 (2020) hadi nafasi ya 62 (2021) duniani huku kwa Afrika ikishika…

Read More

CHICO WA YANGA APEWA KAZI HII KIKOSINI

PAMOJA na mashabiki wa Yanga kuendelea kuwa na shauku ya kutaka kumuona winga wao mpya raia wa DR Congo, Chico Ushindi akifanya mambo yale aliyokuwa akiyaonesha enzi hizo akiwa na TP Mazembe, unaambiwa kocha wa timu hiyo, Nasreddine Nabi, kumbe anamuandaa kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Winga huyo amejiunga na Yanga kwenye usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15, mwaka huu akitokea TP Mazembe. Chanzo chetu kutoka katika kambi…

Read More

SIMBA YASHINDA KWA PENALTI MBELE YA PRISONS

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo wepata ushindi mbele ya Tanzania Prisons baada ya mechi tatu za ugenini kushindwa kupata matokeo. Bao la ushindi limepachikwa na Meddie Kagere baada ya mwamuzi wa kati kuamua ipigwe penalti ambayo ilikuwa ikionekana kupingwa  na wachezaji wa Prisons. Jumla Simba inakuwa imefunga mabao 15 katika mechi 14…

Read More

UWANJA WA MKAPA NGOMA NZITO SIMBA 0-0 PRISONS

Dakika 45 Uwanja wa Mkapa timu zote hazijafungana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ubao unasoma Simba 0-0 Tanzania Prisons na timu zote mbili zinacheza kwa nidhamu kubwa hasa katika eneo la ulinzi. Prisons madhambulizi yao ni ya kustukiza na wamepata kona mbili kuelekea lango la Simba huku Simba ikiwa imepata kona nne na zote…

Read More

BOXER BADO UNA MUDA WAKURUDI TENA KATIKA UBORA

Zama za Mwinyi Zahera alikuwa katika ubora na aliaminika kikosi cha kwanza jumlajumla ni Paul Godfrey wengi wanapenda kumuita Boxer.. Aliweza kumuweka benchi Juma Abdul mzee wa kumwaga maji ambaye pia alikuwa ni nahodha msaidizi katika kikosi cha Yanga. Majeruhi yaliweza kuirudisha nyuma kasi yake kisha hata aliporudi hajaweza kurudi kwenye ule ubora. Alipata nafasi…

Read More