>

PABLO AWEKA REKODI KIMATAIFA DAKIKA 180

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba ameweka rekodi yake kwenye mechi mbili mfululizo kuweza kufanya mabadiliko ambayo yamekuwa yakimpa matokeo ndani ya dakika 180. Katika Kombe la Shirkisho mbali na kuwa Simba ni namba moja na pointi zake nne,pointi hizo zilipatikana kipindi cha pili mara baada ya kufanya mabadiliko kwa wachezaji ambao walikuwa benchi kuusoma…

Read More

VIDEO;YANGA WABAINISHA KUHUSU UBINGWA

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa kesho Februari 23, Uwanja wa Manungu wapo tayari na benchi la ufundi linahitaji ushindi. Manara ameweka wazi kwamba Mtibwa Sugar ilishawahi kuwa bingwa wa ligi mara mbili mfululizo na uzoefu katika kushiriki mashindano makubwa na…

Read More

MZUNGUKO WA PILI UPO KARIBU,KAZI IENDELEE

NJIA ambayo inatumika katika kusaka ushindi kwa kila timu ni maandalizi mazuri na wachezaji kupambana bila kuchoka ndani ya uwanja. Imekuwa hivyo kwa timu ambazo tayari zimekamilisha hesabu za mzunguko wa kwanza na nyingine bado mechi moja mkononi kufanya hivyo. Hakuna namna nyingine inayotakiwa kufanyika zaidi ya kila timu kuweza kufanya maandalizi mazuri kwa kuwa…

Read More

Marioo – YANGA Tamu (Official Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo ametangaza rasmi kuwa shabiki wa Yanga. Utakumbuka Marioo alikuwa Simba na mara kadhaa alikuwa akishiriki katika matamasha ya Simba. Marioo amesema kuwa sababu kubwa ya kuhama Simba na kujiunga na Yanga kwa sababu hapendi mawazo (Stress). “Sasa nipo rasmi Yanga, zamani nilikuwa nashabikia timu ile nyingine. Mimi sipendi…

Read More

CONTE:WACHEZAJI TULIOWASAJILI WAMETUVURUGA

KOCHA Antonio Conte amedai kuwa sera ya usajili ya Tottenham inadhoofisha kikosi, huku akiweka wazi kuwa wachezaji waliowasajili wakati wa dirisha la Januari wamekwenda kukivuruga zaidi kikosi chao badala ya kukiboresha. Muitaliano huyo amedai kuwa timu yake sasa ina nafasi ya asilimia moja tu kumaliza top 4 katika Premier, Tottenham Katika usajili wa Januari, Spurs…

Read More

BEI YA JEZI ZA YANGA YASHUSHWA ,MARIOO MWANANCHI

KLABU ya Yanga imepunguza bei ya jezi zake ili kuwapa nafasi mashabiki wake kununua jezi za timu yao kwa bei nafuu zaidi na kuongeza hamasa zaidi. Kauli hiyo imetolewa Februari 21, 2022 na Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara ambaye ameweka wazi kuwa malengo ya kufanya hivyo ni kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo na…

Read More