>

SIMBA NDANI YA TABORA KUIVUTIA KASI KMC

KIKOSI cha Simba leo Desemba 22 kimewasili salama Tabora kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kuchezwa Desemba 24, Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Ikiwa ipo nafasi ya pili na pointi 18 baada ya kucheza mechi 8 inakutana na KMC iliyo nafasi…

Read More

BEKI WA KAZI KUSAJILIWA YANGA KUONGEZA NGUVU KWA JOB

UONGOZI wa Yanga umefunguka kuwa kuna uwezekano mkubwa wakaingia sokoni na kusajili beki mmoja wa kati mwenye uwezo mkubwa ili kuwa msaada kwa Dickson Job na Bakari Mwamnyeto ambao ndiyo tegemeo kwa sasa. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa Mashindano wa Yanga, Thabiti Kandoro alipokuwa anaweka wazimipango ya timu hiyo kwenye dirisha dogo la usajili ambalo limefunguliwa Desemba 16,mwaka huu na kutarajiwa kufungwa Januari 15, mwakani. Akizungumza na Spoti Xtra, Kandoro alisema viongozi wametazama kikosi na kupitia…

Read More

SALAH HANA JAMBO DOGO ULAYA

MOHAMED Salah raia wa Misri, mshambuliaji wa Liverpool hana jambo dogo akiwa uwanjani kwa kuwa amekuwa ni mtu wa kazikazi. Rekodi zinaonyesha kuwa amecheza jumla ya mechi 162 na ni mechi 155 alianza kwenye kikosi cha kwanza. Katika mechi hizo jumla ya mechi saba alifanyiwa mabadiliko kutokana na sababu mbalimbali. Akiwa ametupia mabao 110 ni…

Read More

YANGA YAMSHUSHA MBADALA WA YACOUBA

USAJILI unaofanywa na Simba na Yanga kipindi hiki cha dirisha dogo ni umafia mtupu kwani hakuna ambayeanataka kuona mchezaji wake akiporwa. Katika kuhakikisha kila timu inafikia malengo yake, imefahamika kuwa, Jumapili Yanga imemshusha kimyakimya kiungo mshambuliaji kutoka nchini DR Congo tayari kwa ajili ya kusaini mkataba wa kukipiga Jangwani. Taarifa zimeeleza kuwa kiungo huyo ambaye kwa sasa jina lake wameamua kulificha kuogopa kuporwa na wapinzani, alitua Jumapili…

Read More

SIMBA NA YANGA ZAKUTANA KWA NYOTA HUYU

UONGOZI wa kiungo fundi kutoka Klabu ya DC Motema Pembe ya nchini DR Congo, Karim KimvuidKiekie umeweka wazi kuwa wapo kwenye mazungumzo na Simba na Yanga ambazo zinahitaji huduma ya kiungohuyo mshambuliaji. Kiekie ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 19 ni miongoni mwa wachezaji wanaotamba nchini DR Congo ambapoakiwa katika umri huo tayari amefanikiwa kuitumikia timu ya taifa katika michuano ya CHAN iliyofanyika mwaka…

Read More

SURE BOY APEWA MIAKA MIWILI YANGA

RASMI kiungo mchezeshaji wa Azam FC, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu usajili wa dirisha dogo ufunguliwe Desemba 16, mwaka huu. Huyo anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na Yanga baada ya hivi karibuni kumsaini kiungo mshambuliaji wa Biashara United, Denis Nkane. Kwa mujibu wa taarifa ambazo limezipata Spoti Xtra, kiungo huyo alisaini mkataba huo baada ya kuvunja mkataba wake na Azam FC. Mtoa taarifa…

Read More

GUARDIOLA AWAPA ONYO MASTAA WAKE

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amewapa onyo mastaa wake Jack Grealish na Phil Foden kutokana na tabia zao za kupenda bata wakati wanajua kwamba wanamajukumu kwenye timu. Nyota hao wawili walishinda klabu usiku wakati wakijua kwamba kuna mchezo dhidi ya Newcastle United hali iliyopelekea kutoweza kupangwa kwenye mchezo huo. Wakati City ikishinda mabao…

Read More