>

SIMBA YASHINDA MBELE YA POLISI TANZANIA

KIKOSI cha Simba leo Oktoba 27 kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Bao la ushindi limefungwa na kiungo Rarry Bwalya dakika ya 89 kwa mkwaju wa penalti iliyosababishwa na kiungo Bernard Morrison. Kwenye mchezo wa leo Polisi Tanzania walikuwa kwenye ubora…

Read More

RAIS SAMIA AWAPA VIWANJA WACHEZAJI WA TWIGA STARS

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amewapatia viwanja jijini Dodoma wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars kwa kuibuka mabingwa wa COSAFA 2021. Rais Samia (katikati) akiwa na baadhi ya wachezaji wa Twiga Stars na viongozi mbalimbali. Rais Samia ametoa zawadi hiyo leo Oktoba…

Read More

ANSU ANAAMINI HAWEZI KUMFIKIA MESSI

KINDA wa Barcelona, Ansu Fati amesema kuwa alipata ofa nyingi sana lakini akaamua kubaki Barcelona na wala hana wasiwasi kuvaa jezi ya Lionel Messi. Fati alikubali kusaini mkataba mpya wa miaka sita na Barcelona na sasa dau lake la usajili ni Euro bilioni moja jambo ambalo linaonekana kuishtua dunia.   Kinda huyo ambaye anatajwa kuwa…

Read More

AZAM FC WAPEWA ONYO NA TFF

BAADA ya uongozi wa Azam FC, kuwasimamisha wachezaji wao, Aggrey Morris, Aboubakary Salum ‘Sure Boy’ na Mudathir Yahaya kwa muda usiojulikana, Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’ limeiagiza timu hiyo kutoa adhabu ya muda maalum. BAADA ya uongozi wa Azam FC, kuwasimamisha wachezaji wao, Aggrey Morris, Aboubakary Salum ‘Sure Boy’ na Mudathir Yahaya kwa muda usiojulikana,…

Read More

FEI TOTO: BADO NINA NAFASI YA KUFANYA VIZURI YANGA

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefunguka kuwa bado anaiona nafasi yake katika kikosi cha timu hiyo kutokana na malengo aliyojiwekea kwamba anahitaji kufanya vizuri zaidi ya sasa ikiwa ni msimu mpya wa 2021/22 umeanza kwa kasi kubwa. Fei Toto anayefundishwa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameanza msimu huu vizuri huku akiwa kinara wa…

Read More

MOUNT ACHEKELEA KUWATUNGUA NORWICH

OKTOBA 23, Mason Mount nyota wa Chelsea mwenye miaka 22 aliandika rekodi yake tamu kwa kufunga hat trick mbele ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu England jambo ambalo lilimpa tabasamu nyota huyo ambaye yupo chini ya Kocha Mkuu, Thomas Tuchel. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu England, ubao wa Uwanja wa Stamford Bridge ulisoma…

Read More

NYOTA SIMBA AIPA UBINGWA YANGA

NYOTA wa zamani wa Klabu ya Simba, raia wa Ghana Nicholas Gyan amesema kuwa Yanga ya msimu huu ni bora kuliko Yanga zote za misimu minne iliyopita na ina nafasi ya kutwaa ubingwa. Gyan alisema Simba hawatakiwi kubweteka badala yake wawe makini kwa kuwa mwenendo wa Yanga ya msimu huu unaonekana bora sana na kila…

Read More

KOCHA MPYA SIMBA APEWA SAA 48,GOMES AITAJA YANGA

OKTOBA 27 Championi Jumatano habari kubwa inazungumzia kuhusu kutimuliwa kwa Didier Gomes aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba na imeeleza kuwa kocha mpya amepewa saa 48, pia kuna ishu ya Gomes kuitaja Yanga, jipatie nakala yako ambayo ina habari kubwa nyingine inayozungumzia mshahara wa makocha huku Nasreddine Nabi wa Yanga akionyesha kuwafunika wote.

Read More