
DIARRA AZUA JAMBO JIPYA HUKO YANGA ISHU YA MKATABA
KIPA chaguo la kwanza ndani ya Yanga, Djigui Diarra anatajwa kuwa ameomba kuongezewa mshahara ili aendelee kutimiza majukumu yake ndani ya timu hiyo. Ipo wazi kuwa Diarra ni moja ya makipa ambao wameleta ushindani mkubwa kwenye eneo la walinda mlango ambapo awali Aishi Manula wa Simba alijenga ufalme wake kwenye eneo hilo. Taarifa zinaeleza kuwa…