
EURO 2024: KUNDI E BADO NI NGOMA NI NGUMU, KILA TIMU INA POINTI TATU
Timu ya taifa ya Ubelgiji imeweka hai matumaini ya kufuzu hatua ya 16 bora baada ya kuitandika Romania 2-0 katika mchezo wa raundi ya pili wa Kundi E uliopigwa katika dimba la RheinEnergieStadion (Cologne). FT: Ubelgiji ?? 2-0 ?? Romania ⚽ Tielemans 2’ ⚽ De Bruyne 80’ Kundi E bado ni ngoma ni ngumu, kila…