
MDAKA MISHALE KARUDI, DUBE NDANI
KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra amerejea langoni hivyo ataanza mbele ya Singida Black Stars kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, New Amaan Complex kwa wababe wawili kuwa uwanjani kusaka pointi tatu. Miguel Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ameanza na Dennis Nkane ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kuanza kikosi cha kwanza, Boka, Bakari…