MAYELE ATOA KAULI YA KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema yeye na wachezaji wenzake hawana presha kuhusu mchezo wa raundi ya pili ya mtoano dhidi ya Al Hilal ya Sudan Kaskazini. Mayele ametoa kauli hiyo kwa kujiamini akisema ni halali yao kuingia makundi katika michuano ya Kombe la Mabingwa Afrika kwani wana wachezaji wazuri na wanajiamini, hivyo hawana presha…

Read More

DROO KURUDIWA 16 LIGI YA MABINGWA ULAYA

KIWA ni saa chache baada ya droo ya kupanga michezo ya hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya kufanyika, hatimaye droo hiyo imefutwa na kutangazwa kurudiwa. Hii inakuja baada ya kutokea kwa tatizo la mfumo unaochezesha droo hiyo na baadhi ya vilabu kulalamikia tatizo hilo. Awali tatizo lilianza kuonekana pale ambapo Klabu…

Read More

LIGI KUU ENGLAND, C.PALACE 0-0 LEEDS UNITED

UWANJA wa Selhurst mchezo umekamilika kwa Crystal Palace 0-0 Leeds na kuwafanya waweze kugawana pointi mojamoja kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ulikuwa ni mchezo wa kujilnda kwa timu zote mbili na hawakuweza kutengeneza nafasi nyingi kwenye mchezo huo ambao ulikuwa ni mgumu kwa kila timu. Leeds wamekosa pointi tatu ambazo zingewaongozea nguvu ya kujinasua…

Read More

DR CONGO NGOMA NZITO MBELE YA MOROCCO

TIMU ya taifa DR Congo imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kombe la Mataifa Afrika, Januari 21. DR Congo ina wachezaji wawili wanaoitambua Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Fiston Mayele aliyewahi kucheza Yanga na Henock Inonga anayekipiga Simba. Morroco walipachika bao kupitia kwa Achraf Hakim mapema kabisa…

Read More

BOSI SIMBA ABAINISHA KUWA USHINDI UPO

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’, amesema kuwa Yanga ni watoto wadogo kwa Simba na timu yao ipo tayari kuchukua alama tatu, Desemba 11. Try Again alisema wao wanauchukulia mchezo wao na Yanga kama michezo mingine wanayocheza kwenye ligi na kwamba suala la kupata ushindi kwenye mchezo huo ni…

Read More

SIMBA NA KMC ZAPIGANA MKWARA WA POINTI TATU

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara Desemba 23 Uwanja wa Azam Complex wababe kutoka Dar wamepigana mikwara. Ni KMC watawakaribisha Simba kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Abdihamid Moallin Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa wanatambua ugumu uliopo lakini wanapaswa kuamini kwamba watapata…

Read More

SIMBA YASHINDA KWA PENALTI MBELE YA PRISONS

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo wepata ushindi mbele ya Tanzania Prisons baada ya mechi tatu za ugenini kushindwa kupata matokeo. Bao la ushindi limepachikwa na Meddie Kagere baada ya mwamuzi wa kati kuamua ipigwe penalti ambayo ilikuwa ikionekana kupingwa  na wachezaji wa Prisons. Jumla Simba inakuwa imefunga mabao 15 katika mechi 14…

Read More

YANGA HESABU ZAKE KUFANYA KWELI KIMATAIFA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kufanya vizuri kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 30 2024. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuhusu kuelekea kwenye mchezo huo.

Read More

SITA HAWATAKUWA NDANI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE

MASTAA sita wamekutanana mkono wa asante ndani ya kikosi cha Singida Fountain Gate inayotumia Uwanja wa Liti kwa mechi zake za nyumbani. Timu hiyo ilishiriki Mapinduzi 2024 na ikagotea hatua ya nusu fainali ilipofungashiwa virago na Simba kwa mikwaju ya penalti 3-2 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Miongoni mwa nyota…

Read More