Simba SC kuutumia Meja Isahmuyo kwa mechi za nyumbani

SIMBA SC huenda wakautumia Uwanja wa Meja General Isahmuyo kwa mechi za nyumbani katika Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika. Hii inatokana na Uwanja wa Mkapa ambao Simba SC ilikuwa inautumia kwa mechi za nyumbani kufungiwa kwa muda kutokana na  maboresho ambayo yanaendelea. Kwa sasa Uwanja wa Mkapa…

Read More

Mchezaji bora Septemba ni Diarra wa Yanga SC

Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga SC amekaa langoni katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya mwezi Septemba. Katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 Diarra ameokoa hatari moja pekee ilikuwa katika mchezo dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine dakika ya 89 pigo la Vitalis Mayanga. Katika…

Read More

Hizi hapa mechi 6 za Romain Folz, Kocha Mkuu Yanga SC

WAKATI tetesi zikieleza kuwa huenda Romain Folz akafutwa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa amekiongoza kikosi kwenye mechi 6. Katika mechi hizo ushini ni mechi tano na aliambua sare mchezo mmoja wa ligi ugenini dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Sababu kubwa inayotajwa kumuondoa Folz kwenye benchi la…

Read More

Kiwanja Kinauzwa – Bagamoyo, Kaole Magambani

Kiwanja kipo Bagamoyo, Kaole Magambani (Nyuma ya Bagamoyo Secondary School) katika eneo tulivu na salama. Umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami Umbali wa mita 500 pekee kutoka ufukweni mwa bahari 📏 Ukubwa na Sifa Eneo lina ukubwa wa 848 sqm (limepimwa rasmi) Tambarare, linafaa kwa ujenzi wa makazi au biashara Ardhi ya kichanga,…

Read More