YANGA YAIPIGIA HESABU HIZI AZAM FC

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao wa ligi dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 23, Uwanja wa Azam Complex. Chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi timu hiyo ilitoka kukomba pointi tatu dhidi ya Geita Gold kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ukisoma Geita…

Read More

MASTAA YANGA WAPIGWA STOP NA GAMONDI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia Argentina ni kama amewashtukia wapinzani wao katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Merrikh ya Sudan kwa kuamua kufuta mapumziko kwa wachezaji wa timu hiyo na kuingia kambini na kuanza maandalizi kuelekea katika mchezo huo. Yanga ambao imeanza msimu huu kwa mafanikio kutokana na kutoa vipigo vizito katika Ligi…

Read More

YANGA KAMILI KUIKABILI KMKM

MCHEZO wa kwanza ndani ya 2023 Yanga itashuka Uwanja wa Amaan leo dhidi ya KMKM saa 2:15 usiku. Ni Katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023 huku kocha msaidizi wa Yanga, Cedrick Kaze akibainisha kwamba wapo tayari kwa ajili ya ushindani.  Kaze amesema kuwa wanatambua ushindani ambao upo kwenye mashindano hayo kutokana na timu kujipanga….

Read More

NGOMA YA MASHUJAA IMEKUWA NZITO

MCHEZO wake wa kwanza langoni kipa namba mbili wa Azam FC Ali Ahmada kashuhudia wakikomba poiñti tatu ugenini na mabao matatu Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-3 Azam FC. Kipre Junior dakika ya 52, Gibril Sillah dakika ya 70 na Allasane Diao alimtungua kwa kipa wa Mashujaa akitumia…

Read More

MGUNDA AKABIDHIWA SHOO YA NABI

MABOSI wa Simba wameshtukia jambo zito baada tu ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufanya mabadiliko ya haraka kwa kuamua kumkabidhi timu kocha msaidizi ya timu hiyo, Juma Mgunda kuelekea katika mchezo dhidi ya Yanga inayoonolewa Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Simba imefanya mabadiliko hayo ya ndani baada ya…

Read More

HUYU HAPA MVP LIGI KUU BARA 2021/22

KATIKA usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22 uliweza kukamilika kwa kila mmoja kuweza kujua kile ambacho amekivuna. Kwa upande wa tuzo ya mchezaji bora ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa umakini ilikwenda kwa kiungo wa Yanga, Yannick Bangala. Tuzo hiyo ilitolewa na mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Waziri wa Sanaa, Utamaduni na…

Read More

YANGA NGOMA NGUMU MBELE YA WAARABU

MCHEZO wa mtoano Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa Uwanja wa Mkapa, Yanga imekubali ubao kusoma 0-0 Club Africain na kufanya ngoma kuwa ngumu ikiwa nyumbani. Ulikuwa ni mchezo wazi kwa timu zote mbili ambazo zilikuwa kwenye msako wa ushindi kupiga hatua moja kuelekea kwenye hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho. Kete ya kwanza ya…

Read More

YANGA HAINA HOFU NA MAMELODI KWAO AMANI TU

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba hauna tatizo na wapinzani wao kwenye anga la kimataifa Mamelodi Sundowns kwa kuwa vita yao ni ndani ya dakika 90 uwanjani. Yanga wameweka wazi kuwakama kuna mashabiki wao ambao wapo Tanzania wajitokeze kwa wingi uwanjani kikubwa ni kuona wanapata burudani kwenye mchezo huo wa kimataifa unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa….

Read More

YANGA WAIVUTIA KASI MEDEAMA CAF

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao ni kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana. Huo ni mchezo wa kusaka tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali wakiwa wamecheza mechi tatu na kukusanya pointi mbili kibindoni. Desemba 20 Yanga wanatarajiwa kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa baada…

Read More

WAZAWA KUPWA NA KUJAA KUFIKE MWISHO

WAZAWA ipo wazi kuwa hawajawa na msimu mzuri kutokana na rekodi kuwakataa ndani ya uwanja kwenye kila idara. Ni Yanga kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele raia wa DR Congo ni Clatous Chama wa Simba kinara wa pasi za mwisho. Mayele ametupia mabao 16 ndani ya kikosi cha Yanga na Chama pasi 14 sio hawa…

Read More

EPL, SERIE A, BUNDESLIGA NA LA LIGA KUENDELEA WIKIENDI HII

Baadhi ya mataifa yameshajihakikishia kucheza Kombe la Dunia mwakani. Wengine, wataendelea kujitafuta mwezi Machi mwakani. Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii, karata ya ushindi inapatikana Meridianbet! Mkeka wako wikiendi hii, upambe kwa namna hii; Augsburg kuwaalika Bayern Munich katika muendelezo wa Bundesliga Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazalisha magoli ya kutosha. Lolote linaweza…

Read More