
SIMBA YAIPIGA YANGA NA KITU KIZITO, NDANI YA SPOTI XTRA JUMANNE
KATIKA gazeti la Spoti Xtra Jumanne kuna ishu ya Yanga kupigwa na kitu kizito na Simba, usikose nakala yako kwa jero.
KATIKA gazeti la Spoti Xtra Jumanne kuna ishu ya Yanga kupigwa na kitu kizito na Simba, usikose nakala yako kwa jero.
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wameona ubora wa wapinzani wao Al Hilal ya Sudan hivyo watafanya maandalizi mazuri kupata matokeo. Nabi amesema ameona ubora wa Al Hilal ambao ameuficha kwa kukataa kuuweka wazi kwa kuhofia wapinzani kushtuka, zaidi akipanga kukiimarisha zaidi kikosi chake ili kuhakikisha anapata ushindi nyumbani na ugenini. “Mimi ni…
MTOKO wa kifamilia kwa Simba ikiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al Hilal wametoshana nguvu Uwanja wa Mkapa. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba 1-1 Al Hilal ambapo dakika 45 za mwanzo zilikuwa mali ya Al Hilal kisha Simba wakafanya kazi kubwa kipindi cha pili. Bao la Al Hilal limefungwa kwa…
LICHA ya mashabiki wa Mbeya City kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Sokoine mambo yamekuwa magumu kwa timu hiyo kusalia ndani ya Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Mbeya City 0-1 Mashujaa kutoka Kigoma wakipeta kwa ushindi wa jumla ya mabao 1-4. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Kigoma ubao ulisoma Mashujaa 3-1 Mbeya…
Mapumziko, Uwanja wa Mkwakwani Tanga, Coastal Union 0-1 Simba. Bao la kuongoza kwa Simba limepachikwa na kiungo Bernard Morrison dk ya 40 baada ya beki wa Coastal Union kufanya makosa katika kupiga pasi kwenda mbele. Coastal Union chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda imeweza kuotea mara mbili na wamepiga mashuti matatu ambayo yamelenga lango. Simba…
JULIO Enciso aliingia katika kinyang’anyiro cha bao bora la msimu huku Brighton wakishangilia nyuma mabingwa Manchester City na kutoka sare ya 1-1 na kupata kufuzu kwa Ligi ya Europa kwa mara ya kwanza. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19 alifunga bao la kustaajabisha katika ushindi wa timu yake dhidi ya Chelsea mwezi uliopita na…
“TUNAHITAJI kushinda na sio matokeo mabaya kwenye mechi zetu ambazo tunacheza na kila kitu kinakwenda sawa,” ni Christina Mwagala, Ofisa Habari wa KMC. Timu hiyo inakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Huo ni mzunguko wa pili ambapo kila timu inasaka ushindi kwa hali na mali kufikia…
SHABIKI wa Yanga ameabinisha kuwa hakutarajia kuhusu ujio wa Ally Kamwe ndani ya Yanga na amefurahi kuskia kwamba amepewa nafasi hiyo, kuhusu Priva akiwa na jezi za Simba wamebainisha kuwa kijana huyo ni msomi na mwanasheria ana jezi nyingi amazo amevaa ikiwa ni pamoja na Coastal Union haina maana kwamba yeye ni Simba lialia
KIUNGO mzawa mali ya Azam FC Feisal Salum MWENYE jumla ya mabao 11 katika orodha ya watupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara anazidi kuonyesha ubora wake kwa vitendo uwanjani. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Machi 3 2024 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 4-1 Dodoma Jiji na Fe alitupia mabao mawili….
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamemuongezea mkataba wa mwaka mmoja kiungo wa kazi Tepsi Evance ambaye ni moja ya wazawa wenye vipaji vikubwa kwenye kucheza na mpira. Tepsi ambaye alikuwa kwa mkopo ndani ya KMC msimu wa 2023/24 bado atabaki kuwa mali ya Azam FC mpaka 2026 baada ya kuogeza kandarasi ya mwaka mmoja. Kiungo…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrikd dhidi ya Power Dynamos ambapo watatumia Uwanja wa Azam Complex. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema hawatakuwa na hamasa kubwa kutokana na Uwanja wa Azam Complex kuwa na uwezo wa kubeba watu 7,000. Mchezo…
KLABU ya Everton imefufua matumaini ya kuweza kuwa na nguvu ya kubaki ndani ya Ligi Kuu England baada ya ushindi mbele ya Manchester United. Ushindi ambao wamepata wa bao 1-0 Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa jioni ya leo una maana kubwa kwao kwa kuwa hawakuwa wanachohitaji zaidi ya pointi tatu. Bao…
BAADA ya kufikia makubaliano ya kutoongeza mkataba ñdani ya Yanga, Nasreddine Nabi anatajwa kuwa katika hesabu za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Dili la Nabi lilikuwa linagota ukingoni mwishoni mwa msimu huu wa 2022/23. Nabi amekiongoza kikosi cha Yanga msimu wa 2022/23 kwa mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kutwaa taji la Ligi Kuu Bara,…
Timu ya taifa ya Italia ikiwa nyumbani katika dimba San Siro imekubali kichapo cha 3-1 dhidi ya Ufaransa kwenye mchezo wa UEFA Nations League huku Ufaransa ikivunja mwiko wa miaka 18 wa kutopata ushindi dhidi ya Italia kwenye mechi za kiushindani. FT: Italy 🇮🇹 1-3 🇫🇷 France ⚽ 35’ Cambiaso ⚽ 2’ Rabiot ⚽ 33’…
IMEELEZWA kuwa baada ya Yanga kumalizana na kiungo Bernard Morrison sasa inakwenda kumtambulisha kiungo mwingine hivi karibuni
Ilikuwa ni asubuhi moja ya Jumatano kijana mmoja kutoka familia duni aliamka mapema sana kisha akaanza kujiandaa kwenda shule, kwakuwa alikuwa anaishi kwenye hali ya ufukara na umaskini hakukata tamaa bali aliongeza bidi na juhudi katika masomo yake na shughuli za kilimo kila baada akirudi shule na siku nyingine ilimlazimu kijana huyo kuacha kwenda shule…