SINGIDA BLACK STARS YAIPIGA MKWARA SIMBA

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa upo tayari kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Desemba 28 2024 wanachohitaji ni pointi tatu muhimu. Singida Black Stars baada ya kucheza mechi 15 imepata ushindi kwenye 10 ikiambulia sare katika mechi 3 na kupoteza ni mechi mbili pekee ndani ya msimu wa 2024/25….

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA,YANGA KAZINI

LEO Jumapili, Januari 23,2022 vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanatarajiwa kuwa na mchezo wa ligi dhidi ya Polisi Tanzania unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi 32 inakutana na Polisi Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu Malale Hamsini ikiwa na pointi 18. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,HESABU ZAO HIZI HAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Simba leo Machi Mosi wamerejea Dar baada ya kukamilisha dakika 180 za msako wa pointi sita kimataifa ugenini. Kwenye msako huo Simba iliambulia pointi moja na kufikisha pointi 4 kibindoni baada ya kupoteza mchezo mmoja wa kimataifa. Ilikuwa mbele ya USGN ya Niger, Simba ililazimisha sare ya kufungana…

Read More

RAIS FIFA ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA KILA HATUA

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Dunia FIFA, Gianni Infantino amesema kuwa kukuza mpira wa Afrika kunahitaji ushirikiano mkubwa na kila mmoja ili kuweza kufikia mafanikio. Inafantino aliwasili Tanzania Agosti 9 alipokelwa na mwenyeji wake ambaye ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) Wallace Karia pamoja na viongozi wa TFF ameweka wazi kuwa…

Read More

STAMINA AACHIA ALBAM YAKE YA PILI

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Boniventure Kabogo (Stamina), ameachia album yake ya pili aliyoipa jina la Paradiso ambayo ina mkusanyiko wa jumla ya nyimbo 13. Wasanii alioshirikiana nao katika albamu hiyo ambayo imezinduliwa kupitia jukwaa la Boomplay, ni pamoja na Bele 9, Aslay, Linah, Walter Chilambo, Saraphina, Isha Mashauzi, Barakah The Prince na…

Read More

KOMBE LA DUNIA ROBO FAINALI ZA KIBABE

MECHI za hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia zinatarajiwa kuanza kazi leo Ijumaa ambapo miamba wa soka Ulaya na Amerika Kusini inatarajia kupambana. Mechi ya mapema zaidi leo Ijumaa inatarajiwa kuwa kati ya Croatia dhidi ya Brazil majira ya saa 12:00 jioni kwa Bongo halafu baadaye Uholanzi wakimenyana na Argentina saa…

Read More

DUBE ANA HATARI UWANJANI, GAMONDI KUMSUKA UPYA

NYOTA mpya wa Yanga, Prince Dube ana balaa zito ndani ya kikosi cha Yanga kwenye mechi ambazo anacheza licha ya kushindwa kufunga mabao mengi katika nafasi anazopata huku benchi la ufundi likibainisha kwamba wanasuka upya safu ya ushambuliaji kuongeza makali uwanjani. Ipo wazi kwamba kuna vita kubwa eneo la ushambuliaji Yanga ikiwa kuna ClementΒ  Mzize,…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI TATU, MANULA ATUNGULIWA

DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa Ushirika Moshi na ubao umesoma Polisi Tanzania 1-3 Simba. Simba walianza kufunga mabao yote hayo matatu ambapo kipindi cha kwanza walifunga mabao mawili kupitia kwa John Bocco dakika ya 332 na bao la pili ni Moses Phiri dakika ya 43. Kipindi cha pili Polisi Tanzania waliongeza umakini na nguvu ya…

Read More

AL AHLY NA PYRAMIDS ZIMEANZA HATUA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA KWA USHINDI

Miamba ya Nchini Misri, Al Ahly na Pyramids zimeanza hatua robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa ushindi huku Maharamia wa Afrika Kusini, Orlando Pirates wakiilaza MC Alger ya Algeria ugenini. FT Pyramids πŸ‡ͺπŸ‡¬ 4-1 πŸ‡²πŸ‡¦ FAR Rabat ⚽ 02’ Mayele ⚽ 12’ Mayele ⚽ 39’ Adel ⚽ 67’ Adel ⚽ 45’ Hadraf FT Al…

Read More

HIKI NDICHO ANACHOFIKIRIA NZENGELI WA YANGA

MAXI Nzengeli kiungo wa Yanga amesema furaha yake kubwa kufunga ni kwa ajili ya mashabiki. Kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Singida Fountain Gate uliochezwa Uwanja wa Mkapa alitupia mabao mawili yaliyoipa pointi tatu Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Mchezo unaofuata kwa Yanga ni dhidi ya Simba unatarajiwa kuchezwa Novemba 5 2023 ikiwa…

Read More

MAYELE AMKOSESHA RAHA BEKI LIGI KUU BARA

BEKI wa kati wa Simba anayekipiga kwa mkopo Mtibwa Sugar, Ibrahim Ame, amesema mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele ameshindikana huku akisisitiza amemkosesha usingizi. Kauli ya beki huyo imekuja baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kumalizika kwa Yanga kuwafunga Mtibwa mabao 2-0 juzi Jumatano kwenye Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Ame alisajiliwa na…

Read More

CHAMA, SIMBA MAMBO SAFI!

AMINI usiamini, sasa ni wazi kuwa zile kelele juu ya usajili wa kiungo mshambuliaji wa RS Berkane, Clatous Chama, zimeisha namna hii, baada ya kuvuja kwa siri ya kwamba tayari Simba imemalizana na mchezaji huyo na tayari wamemrejesha nyumbani kwao Lusaka, Zambia. Takriban miezi mitatu sasa, gumzo la jiji ni juu ya usajili wa Chama,…

Read More