
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
PATRICK Viera, Kocha Mkuu wa Crystal Palace alikuwa na wakati mgumu baada ya kunyooshwa kwa mara ya kwanza ndani ya Ligi Kuu England ikiwa ni baada ya kucheza mechi saba bila kufungwa. Ilikuwa ni Novemba 27 ambapo alishuhudia Uwanja wa Selhurst Park ukisoma Crystal Palace 1-2 Aston Villa ambayo inanolewa na Steven Gerrad. Vieira amekuwa…
IKIWA zimebaki siku 12 za watani wa jadi Simba na Yanga kukutana Uwanja wa Mkapa habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba aliyemtungua Aishi Manula bao kali akiwa nje ya 18 amerejea tayari katika ubora wake. Ni Mapinduzi Balama alifanya hivyo Januari 4,2020 Uwanja wa Mkapa alipofunga bao hilo kwa shuti kali na katika…
BAADA ya Simba jana Novemba 28 kushinda mabao 3-0 dhidi ya Red Arrows huku nyota wa mchezo akiwa ni Bernard Morrison kuna ujumbe kutoka twiter ulisambaa kwa kasi kubwa. Ujumbe huo ulionekana kuandikwa kwa jina la Masau Bwire ambaye ni Ofisa Habari wa Ruvu Shooting ambapo alionekana kuwapa pongezi Simba kwa ushindi huku akimpongeza mchezaji…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa tayari umemlipa kiungo wao zamani Mghana, Bernard Morrison faini ya Sh12Mil kutoka Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo ‘CAS’ huku ukiwataka mashabiki wa timu hiyo kupotezea majibu ya hukumu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu CAS itangaze hukumu ya Morisson na Yanga ambayo ilishindwa huku ikitakiwa kumlipa kitita cha Swis 5,000 (Sh12,396,787). Katika hukumu hiyo iliyokuwa na kurasa 29 imeeleza kuwa ushahidi uliotolewa na…
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco jana Novemba 28 kilitupa kete ya kwanza kwenye mchezo wa mtoano katika Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 3-0. Kasi ya Simba ilianza katika dakika 45 za mwanzo ambapo ni Bernard Morrison raia wa Ghana alifunga bao la kwanza kwa pigo huru ilikuwa dakika ya…
WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara na Championship zikizidi kupasua anga kuna tatizo jingine ambalo linazidi kuwa kubwa kadri siku zinavyozidi kusonga mbele. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2021/22 kila kona kumekuwa na hamasa kwa ajili ya kuona kwamba kila timu inapata matokeo lakini sehemu za kuchezea asilimia 70 bado hazijawa bora. Mpaka sasa kwa…
MASHABIKI wa Manchester United wameanza kuwa na hofu kubwa siku chache kabla kocha mpya hajaanza kufundisha timu hiyo ambayo jana ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. United inatarajiwa kufundishwa na kocha Ralf Rangnick ambaye anatarajiwa kukaa kwenye timu hiyo hadi mwisho wa msimu wa 2021/22. Kocha…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
KIKOSI cha Simba kimeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Red Arrows kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90, Kocha Mkuu, Pablo Franco hakuwa na namna ya kufanya kutokana na mazingira ya uwanja kutokuwa rafiki kwa kuwa uwanja…
UWANJA wa Mkapa leo Novemba 28 katika dakika 45 za kwanza Simba wanaongoza kwa mabao 2-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia. Umakini hafifu wa Simba unawafanya waende chumba cha kubadilishia nguo wakiongoza kwa mabao mawili jambo ambalo linawapa ugumu kuweza kulinda ushindi huo ambao una ushindani mkubwa. Mabao ya Simba yamefungwa na Bernard Morrison…
RASMI kikosi cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Red Arrows , Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jioni mchezo wa Kombe la Shirikisho:- Aishi Manula Pascal Wawa Joash Onyango Israel Mwenda Mohamed Hussein Jonas Mkude Hassan Dilunga Sadio Kanoute Meddie Kagere Bernard Morrison Rally Bwalya
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ‘JWTZ’, Sajenti Seleman Kidunda amefichua kuwa kama kuna bondia anaamini uchawi unasaidia kwenye kupigana basi atamruhusu aende akaloge halafu akakutane na mziki wake. Kidunda hivi karibuni amepandishwa cheo kutoka Koplo hadi Sajenti kwa sasa anajiandaa na pambano lake la ubingwa wa dunia ‘WBF’ dhidi ya Tshimanga Katompa kutoka DR Congo katika Pambano la Usiku wa Mabingwa litakalopigwa Desemba…
BINTI Naima Omary ni mchezaji mzuri wa Basket Ball amebainisha kuwa alianza kupenda mchezo huo akiwa shule na kwa sasa bado anaendelea kipaji chake akiendelea na masomo nchini Uganda.
JOHN Boco nahodha wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Red Arrows unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Bocco amebainisha kuwa kupoteza mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa kwa kufungwa mabao 3-1 dhidi ya Jwaneng Galaxy kumewafunza…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa baada ya kutoa sare katika mchezo uliopita dhidi ya Namungo hawatahitaji matokeo kama hayo katika mchezo unaofuata dhidi ya Mbeya Kwanza zaidi ya ushindi tu. Yanga katika mchezo uliopita walitoa sare dhidi ya Namungo kwa bao 1-1, Novemba 30 wanatarajiwa kucheza dhidi ya Mbeya Kwanza mkoani Mbeya. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa matokeo ambayo waliyapata kwenye mchezo…
KAMA ingekuwa ni utulivu wa mshambuliaji wa Simba Kibu Dennis akiwa ndani ya 18 basi kwa sasa angekuwa yupo kwenye orodha ya wakali wa kucheka na nyavu kutona na nafasi ambazo amekuwa akizipata na kushindwa kuzitumia. Rekodi zinaonyesha kuwa ni jumla ya nafasi tisa za wazi aliweza kutengeneza huku katika nafasi hizo akifunga bao moja…