AZAM FC HESABU KWA POLISI TANZANIA

VIJANA wa Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Kali Ongalakwa sasa wapo kwenye maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara zinazofuata ndani ya Desemba,2022. Chini ya Ongala kwenye mechi 7 ambazo amekiongoza kikosi hicho hajapoteza mchezo akiwa amekusanya clean sheet nne bila kuambulia sare. Kituo kinachofuata ni dhidi ya Polisi Tanzania, Desemba 5, Uwanja wa…

Read More

CITY NI NAMBA MOJA KIMATAIFA, WANAKIMBIZA

NDANI ya Ligi Kuu England Manchester City ni baba lao kwa kukusanya pointi nyingi tangu msimu wa 2018/19 mpaka msimu huu wa 2021/22. Ni pointi 338 wamekusanya huku wanaowafuata wakiwa ni Liverpool ambao wana jumla ya pointi 337 na Chelsea ni namba tatu wakiwa na pointi 264 Manchester United ni namba nne wana pointi 257….

Read More

SIMBA:WACHEZAJI WAZAWA KWETU WANASIMAMISHA NCHI

 UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa usajili wa wachezaji wazawa ndani ya kikosi hicho ni usajili wa kuweza kusimamisha nchi kwa kuwa kila mchezaji ana thamani kubwa. Tayari Simba imetambulisha wachezaji wawili wazawa kwa ajili ya msimu ujao ikiwa ni pamoja na Habib Kyombo aliyekuwa anakipiga ndani ya Mbeya Kwanza na Nassoro Kapama ambaye alikuwa…

Read More

WAZIRI MKUU AZINDUA KAMATI YA KITAIFA AFCON 2027

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo kwenye hafla iliyofanyika katika hotel ya…

Read More

HAALAND THAMANI YAKE EURO BILIONI 1

UMESIKIA hiyo, thamani ya staa wa Manchester City, Erling Haaland kwa sasa ni euro bilioni 1. Haya yameelezwa na wakala wa staa huyo, Rafaela Primenta ambaye anamsimamia Haaland na mastaa wengine akiwemo Paul Pogba, Marco Verratti, Gianluigi Donnarumma, Matthijs de Ligt. Staa huyo ndani ya Manchester City kwenye Premier msimu huu amefanikiwa kufunga mabao 26,…

Read More

REAL BAMAKO 0-0 YANGA KIMATAIFA

UBAO wa Stade du 26 Mars, Mali kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika unasoma Real Bamako 0-0 Yanga. Ni mchezo wa hatua ya makundi ambapo timu zote mbili zipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wawakilishi kutoka Tanzania kwenye anga la kimataifa wameanza na washambuliaji wawili ambao ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda. Kiungo…

Read More

STARS YASEPA NA POINTI DHIDI YA UGANDA UGENINI

KAZI kubwa kwa vijana imefanywa kupambania nembo ya Tanzania na kufanikiwa kupata ushindi. Ubao wa Uwanja wa Suez Canal huko Ismailia Misri baada ya dakika 90 umesoma Uganda 0-1 Tanzania. Bao pek Ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast ambapo timu zotezinasaka pointi tatu. Mchezo ambao upo wazi kwa timu zote kupata…

Read More

WAWA AFUNGUKIA KUHUSU UBINGWA

BEKI wa kati wa Simba, Muivory Coast, Pascal Wawa, amewataka mashabiki wa timu hiyo kupunguza presha ya ubingwa wa Ligi Kuu Bara licha ya Yanga kuongoza ligi kwa pointi nyingi kwa kuwa bado ubingwa upo wazi, hauna mwenyewe. Wawa ametoa kauli hiyo Yanga ikiwa inaongoza ligi kwa pointi 48 ikifuatiwa na Simba wenye pointi 37,…

Read More

AZAM FC WANAZITAKA POINTI TATU ZA KMC

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa muda ndani ya Azam FC ameweka wazi kuwa wanawaheshimu wapinzani wao KMC lakini pointi zao tatu wanazitaka jambo linalowafanya wajiandae vizuri. Ibwe amepewa majukumu kwa muda akichukua mikoba ya Zakaria Thabit ambaye amefungiwa kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miezi mitatu na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa…

Read More

YANGA YAJA NA GAMONDI DAY

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wameamua kuja na Gamondi Day kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ikiwa ni mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Mei 22. Ipo wazi kwamba Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi…

Read More

NAMUNGO FC KAMILI KUWAKABILI YANGA SC

BAADA ya kupoteza mchezo wa mzunguko wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora uliochezwa Novemba 30 2024 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukasoma Namungo 0-2 Yanga SC, Namungo FC wameweka wazi kuwa watawakabili wapinzani wao kwa mbinu tofauti kupata matokeo chanya, Mei 13 2025, Namungo FC inatarajiwa kushuka Uwanja wa…

Read More

TANZANIA PRISONS YAPOTEZA MBELE YA YANGA

BAADA ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine umesoma Tanzania Prisons 0-2 Yanga. Kwenye mchezo wa leo wa kufunga msimu wa 2022/23 Nasreddine Nabi kocha wa Yanga alianza na kikosi chote cha kazi ikiwa ni pamoja na Joyce Lomalisa, Djigui Diarra. Ni bao la Fiston Mayele dakika ya 33 na lile la pili likifungwa…

Read More