


VIGONGO VYA AZAM FC MACHI NI HIVI HAPA
MATAJIRI wa Dar Azam FC ndani ya Machi wana vigongo vikali vya moto viwili pekee ambavyo ni dakika 180. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala kete yake moja ni Kombe la Azam Sports na nyingine moja ni ya ligi. Itakuwa nyumbani Machi 5, Jumapili kusaka ushindi dhidi ya Mapinduzi ikiwa ni hatua ya…

SIMULIZI YA MZAZI ALIYEKUWA KWENYE UHUSIANO WA MASHAKA
SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa kwenye uhusiano wa mashaka Kila mtu hutaka awe na uhusiano mzuri haswa na wazazi wake. Ama kwa hakika uhusiano mzuri na mzazi huwezesha mtu kupata Baraka kutoka kwa wazazi wale na hata mambo mengine kama kurithi mali yao kuwa rahisi kupata suluhu. Kwa jina ni Omolla kutoka katika kaunti ya Homa…

GEITA GOLD KITUO KINACHOFUATA KAITABA
BAADA ya Klabu ya Geita Gold kupoteza katika mchezo wake uliopita kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Azam FC, Novemba 20 wanakibarua kingine cha kusaka pointi tatu. Kwenye mchezo huo Khoeminy Aboubakhari kipa wa Geita Gold aliweza kuokoa penalti ya matajiri wa Dar pale Azam Complex sasa kituo kinachofuata ni Kaitaba, Bukoba. Geita Gold haijawa…

MABINGWA WATETEZI MOROCCO WAJIONDOA KWENYE CHAN HUKU KUKIWA NA MVUTANO NA ALGERIA
Morocco imejiondoa katika kutetea taji lao la Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwezi huu baada ya kukataliwa kusafiri moja kwa moja hadi taifa mwenyeji Algeria. Uhusiano wa kidiplomasia kati ya majirani hao wa kaskazini mwa Afrika ulikatishwa na Algeria mnamo 2021, na kwa hatua hiyo, safari zote za ndege za moja kwa moja kati…

TIMU ZA USHINDI ZIPO HAPA LEO EPL, SERIE A NA LIGUE 1 KITAWAKA
Je unajua kuwa Meridianbet wanatoa timu za ushindi siku ya leo?. Basi kama bado hujajua unaweza ukaingia kwenye akaunti yako na kuanza kusaka maokoto kupitia timu hizo. Tukianza na ligi kuu ya Italia leo hii SERIE A kutawaka moto ambapo Parma atamenyana dhidi ya Venezia ambapo uhitaji wa alama 3 ni muhimu kwa wote wawili….

HIZI HAPA MECHI ZIJAZO ZA YANGA NA SIMBA
BAADA ya Kariakoo Dabi kugota mwisho mzunguko wa kwanza na ubao wa Uwanja wa Mkapa Oktoba 19 kusoma Simba 0-1 Yanga kazi bado inaendelea kwa Ligi Kuu Bara mechi kuwa za moto huku vinara wakiwa ni Singida Black Stars ambao walikomba pointi tatu kwenye mchezo uliopita dhidi ya Namungo. Oktoba 20 ubao wa Uwanja wa…

BALEKE, NTIBANZOKIZA KUKUTANA NA BALAA HILI SIMBA
MASTAA wa Simba kwenye upande wa ushambuliaji ikiwa ni Jean Baleke, John Bocco na viungo Saido Ntibanzokiza watakutana na balaa la Kocha Mkuu, Abdlehak Benchikha kutokana na kushindwa kuzitumia nafasi ambazo walizipata kwenye mechi dhidi ya KMC. Desemba 23 ikiwa ni mchezo wa mwisho kwa Simba ndani ya 2023 katika Ligi Kuu Bara walishuhudia ubao…

MUACHENI AIR MANULA AWE AIR KWENYE KAZI
AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa namba moja wa Simba ni Air Manula kwelikweli kama anavyopenda kuitwa kwa kuwa amewafunika makipa wote kwa upande wa kucheza mechi nyingi na kuwa namba moja kufungwa mechi chache. Pongezi kubwa kwa ukuta wa Simba unaongozwa na Joash Onyango pamoja na Henock Inonga ambao umeweza kumshuhudia kipa wao akiokota mabao…

GAMONDI AMKOMALIA JOB
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ni lazima safu yake ya ulinzi kuhakikisha inakuwa kwenye mwendo bora kila wakati katika mechi za ushindani ili kuongeza nguvu ya kupata ushindi. Katika safu ya ulinzi ya Yanga chaguo namba moja kwa Gamondi ni Dickson Job beki mwenye rekodi ya kuwa mfungaji wa bao la…

MANCHESTER CITY YAWAPIGA MSUMARI REIJNDERS NA AIT-NOURI KWA DAU LA EURO MILIONI 110
Kiungo Tijani Reijnders na beki wa kushoto Rayan Ait-Nouri kwa pamoja wamesaini mkataba wao wa kujiunga na Manchester City baada ya kukamilika kwa taratibu za vipimo afya afya na sasa ni wachezaji wapya wa vigogo hao wa England. Reijnders (26) raia wa Uholanzi anatua Man City kwa dau la jumla la Euro milioni 70 akitokea…

GAMONDI MASTA NA HESABU KIMATAIFA HAPA
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha kuwa mpango mkubwa kwenye mechi za kimataifa ni kupata ushindi wapo tayari kutokana na maandalizi ambayo wanayafanya kwenye uwanja wa mazoezi. Machi 30 Yanga inatarajiwa kukabiliana na Mamelodi Sundowns mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo wao uliopita kwenye ligi Yanga…


DIAO AREJEA ACHEKELEA KUFUNGA MBELE YA FOUNTAIN GATE
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, mwili jumba, Alassane Diao amerejea kwa mara ya kwanza msimu wa 2024/25 uwanjani kwa kupata nafasi ya kucheza dhidi ya Fountain Gate ambapo aliingia kipindi cha pili akitokea benchi na kufunga bao moja kati ya mawili yaliyofungwa na timu hiyo. Huu ni mchezo wa kwanza kwa Diao akiwa na uzi wa…

MAJANGA SIMBA KIUNGO WA KAZI AVURUGA MIPANGO
WAKIWA kwenye hesabu za kumenyana na Vipers Uwanja wa Mkapa, Machi 7,2023 nyota mmoja amepata maumivu hivyo huenda atakuwa nje ya mpango wa kikosi cha Simba

AZAM FC WANASUBIRI TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa hauna tatizo ikiwa watapewa taarifa kwamba mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting utapangiwa tarehe nyingine kutokana na taarifa kueeleza kuwa Ruvu Shooting wameomba iwe hivyo. Ruvu Shooting kupitia kwa Ofisa Habari wao, Masau Bwire ameweka wazi kuwa wameiandikia Bodi ya Ligi Kuu Tanzania,(TPLB) barua ya kuomba kupewa muda…

MAXI NZENGELI AWATUNGUA SIMBA NGAO YA JAMII
YANGA wametumia dakika 44 kuwaadhibu Simba katika Ngao ya Jamii mchezo wa nusu fainali Uwanja wa Mkapa kukiwa na dakika 45 za kipindi cha pili zimebaki. Maamuzi ya haraka kwa wachezaji wa Yanga katika kutoa pasi yamewapa wakati mgumu Simba katika eneo la ulinzi linaloongozwa na Che Malone Fondoh. Bao la kuongoza ni mali ya…