MWAMBA ADEBAYO APEWA TUZO YA MVP

MSHAMBULIAJi mpya wa Singida Black Stars Victorien Adebayo amepewa tuzo ya ufungaji bora na mchezaji bora, (MVP) kutokana na uwezo alionao ndani ya uwanja kwenye kucheka na nyavu.  Mshambuliaji raia wa Nigeria alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba kwa muda mrefu mpango huo umekwama na mwisho yupo Bongo akiwa Klabu ya Singida Black Stars…

Read More

YANGA YAMNASA CASEMIRO WA ZANZIBAR KUTOKA MLANDEGE!

Klabu ya Yanga imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya baada ya kumtambulisha rasmi kiungo mkabaji wa Mlandege, Abdulnassir Mohammed Abdallah, maarufu kama “Casemiro”, kwa mkataba wa miaka mitatu. Usajili wa kiungo huyo mahiri ulimalizika tangu Julai 2, 2025, lakini klabu hiyo imemtambulisha rasmi leo, ikiwa ni sehemu ya mipango yao ya kusuka kikosi imara na chenye…

Read More

NGUVU YA AZAM FC YAGEUZWA HUKU

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa baada ya kupata matokeo kwenye mechi zao za ligi sasa wanageukia kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC). Azam FC mchezo wake uliopita wa ligi ilishinda kwa mabao 2-1 JKT Tanzania inakibarua  na Alliance ya Mwanza, kwenye raundi ya pili ya michuano hiyo. Mchezo huo unachezwa…

Read More

KAZI INAENDELEA HUKO MISRI, BENCHI LA UFUNDI LAWASILI

KUELEKEA msimu wa 2024/25 wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa tayari benchi la ufundi limewasili kambini kuendelea na maandalizi. Ipo wazi kuwa kwa sasa timu zote Bongo zipo kwenye maandalizi kuelekea msimu mpya unaosubiriwa kwa shauku kubwa, Yanga ambao ni mabingwa watetezi na Azam FC hizi zipo Bongo huku Coastal Union ikiwa…

Read More

SIMBA INAAMINI ITAPATA UGUMU KWA MTIBWA

JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wanatambua watapata upinzani mkubwa kwenye mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar. Simba itakuwa Uwanja wa Manungu kusaka pointi tatu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao nao wanazihitaji pia. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 5-0 Mtibwa Sugar. Mgunda amesema:”Tunategemea kupata ushindani…

Read More

YANGA WANA BALAA HAO, AZIZI KI HASHIKIKI

NDANI ya Ligi Kuu Bara Yanga wana balaa kwenye msako wa pointi tatu huku nyota wao Aziz KI akiwa hashikiki kwenye kucheka na nyavu. Kasi yake imekuwa katika ubora ambapo alitoka kufunga mabao mawili kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar na Desemba 23 alifunga tena bao moja pekee ambalo liliipa pointi tatu muhimu Yanga….

Read More

KOCHA IHEFU ATAJA WALIPOKWAMIA

JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa mpango kazi ulivurugika baada ya timu hiyo kufungwa bao kipindi cha pili. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jana Novemba 12,Uwanja wa Mkapa, Ihefu ilifanikiwa kutoruhusu bao ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili walikwama kulinda na kufunga na kuruhusu bao la…

Read More

NAMUNGO HESABU ZAO ZIMEKAA HIVI

KOCHA Mkuu wa Namungo FC Dennis Kitambi amesema kuwa wanaimani kubwa ya kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ujao wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji Timu ya Namungo mchezo wake uliopita ilishinda mbele ya Azam FC kwa mabao 2-1 mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Inatarajiwa kucheza na Dodoma Jiji, Juni 6 Uwanja wa Majaliwa ikiwa…

Read More

SIMBA KUCHEZA KIBINGWA LEO KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa leo Jumapili dhidi ya RS Berkane, benchi la ufundi la timu hiyo linafanya maandalizi makubwa kuhakikisha si tu kwamba kikosi chao kinaibuka na ushindi dhidi ya Berkane, lakini pia kinatoa burudani ya kibingwa. Simba wanatarajia kuvaana na Berkane leo Jumapili katika mchezo…

Read More

LIGI KUU BARA RATIBA

LIGI Kuu Bara inaendelea leo Mei 16 ikiwa ni mzunguko wa pili wa lala salama kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu uwanjani. Ruvu Shooting yenye pointi 25 inatarajiwa kusaka ushindi mbele ya KMC yenye pointi 27 kibindoni. Tanzania Prisons yenye pointi 23 ina kibarua mbele ya Kagera Sugar yenye pointi 29 kibindoni….

Read More

KINZUMBI WA TP MAZEMBE ATAJA SABABU 3 ZA KUSAINI YANGA

WINGA msumbufu wa TP Mazembe, Phillipe Kinzumbi ameweka wazi kuwa ameamua kukubali kumwaga wino Yanga kutokana na mambo matatu makubwa ambayo yamemvutia ndani ya timu hiyo. Nyota huyo usajili wake unatajwa kumalizwa na vigogo wa Yanga ambao walienda nchini DR Congo kwenye mechi ya marudiano kati ya Yanga na TP Mazembe ambayo ilipigwa Uwanja wa…

Read More

YANGA YAIPIGA MKWARA AZAM FC

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawana hofu na wapinzani wao Azam FC licha ya timu hiyo kupata muda mrefu wa kufanya maandalizi kuelekea mchezo wao wa Dar Derby katika NBC Premier League. Ikumbukwe kwamba Azam FC mchezo wake uliopita ilicheza dhidi ya Ken Gold na kupata ushindi wa mabao 4-1 inakutana na…

Read More

LIVERPOOL WATOA TAARIFA KUHUSU DIOGO JOTA

NYOTA Diogo Jota, ametangulia mbele za haki kwa ajali akiwa na miaka 28 tu. Mchezaji huyo wa mpira wa lipoteza maisha yake katika ajali ya gari iliyotokea Zamora karibu na mpaka wa Kaskazini-Magharibi kati Uhispania na Ureno. Katika gari hiyo alikuwa na kaka yake ambaye naye ametangulia mbele za haki.  Waajiri wake Liverpool mabingwa wa…

Read More

SIMBA YAMTAMBULISHA MWAMBA HUYU

ISMAEL Sawadogo kiungo mkabaji raia wa Burkina Faso ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Simba. Ni raia wa Burkina Faso ameletwa duniani 1996 ana miaka 26. Alikuwa anakipiga Klabu ya Difaa Hassani El Jadid Anakuja kuchukua mikoba ya Victor Ackpan ambaye atatolewa kwa mikopo. Ackpan raia wa Nigeria amekwama kufiti kikosi cha kwanza cha Simba…

Read More