
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Spoti Xtra Jumapili
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Spoti Xtra Jumapili
MSAKO wa pointi tatu umekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 2-0 KMC. Mabao ya Andrew Vincent aliyejifunga dk 39 na Djuma Shaban dk 51. KMC walikosa utulivu hali iliyofanya wakose nafasi walizotengeneza na ni kadi 5 za njano wameonyeshwa. Yanga inafikisha pointi 48. KMC inakwama kupata pointi mbele ya Yanga msimu huu…
NI moja ya mchezo bora wa Ligi Kuu Bara ndani ya Machi 19,2022 ikiwa ni mapumziko ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 KMC. Bao la kujifunga la Dante dk 39 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Fiston Mayele. Yanga wamenyimwa penalti dk 16 na KMC wamenyimwa kona dk 44. Kasi ya KMC…
KMC ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Yanga, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku. Hiki hapa kikosi kinachitarajiwa kuanza:- Juma Kaseja Hassan Ramadhan Sadal Lipangile Andrew Vincent Masoud Abdalah Kenny Ally Emmanuel Mvuyekule Matheo Anthony Idd Lipagwile Hassan Kabunda Akiba Shikalo Ramadhan Ismail Gambo Abas Kapombe Awesu Awesu Martin Kigi Abdul Hillary Miraj…
MACHI 19, Yanga ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya KMC Uwanja wa Mkapa na hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Diarra Djigui Djuma Shaban Farid Mussa Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Sure Boy Nkane Chico Ushindi Feisal Salum Fiston Mayele Akiba Mshery Bacca Kibwana Yassin Mauya Balama Ambundo Kaseke Makambo
MCHEZAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga kwenye kikosi cha Wydad Casablanca ya Morocco, Simon Msuva amesema kuwa kwa mwendo wa Simba wanaouonyesha kwenye michuano ya kimataifa watafika mbali. Msuva kwa sasa anaripotiwa kuwa nchini hapa kwa madai yuko kwenye mgogoro wa kimaslahi na klabu yake hiyo ya Morocco. Msuva amesema Simba wameshakuwa wazoefu kwenye mashindano…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametaja mambo muhimu ya Fiston Mayele yanayofanya aweze kuanza moja kwa moja kikosi cha kwanza. Mayele ni mtupiaji namba moja ndani ya Yanga akiwa ametupia mabao 10 na pasi tatu katika mechi 17 ambazo Yanga imecheza ikiwa na pointi 45 kibindoni. Nabi amesema kuwa Mayele ana mambo mengi ya…
KLABU ya Arsenal inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta itakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya Ligi Kuu England bila uwepo wa nyota wake wawili. Ni kipa Aaron Ramsdale pamoja na mshambuliaji Gabriel Martinelli ambao hawakuwepo katika safari ya kuibukia Midlands. Ramsdale yeye ana maumivu huku Marttinelli anapambania afya yake kwa kuwa anaumwa….
MSHAMBULIAJI wa Simba, John Bocco hajafunga bao ndani ya ligi kwa msimu wa 2021/22 katika mechi 14 ambazo amecheza. Ikumbukwe kwamba Bocco ni mshambuliaji na ana kibarua cha kutetea kiatu bora ambacho alitwaa baada ya kufunga mabao 16 na asisti mbili msimu wa 2020/21. Msimu huu mambo yamekuwa magumu kwa nyota huyo mzawa ambaye amecheza…
WAKATI leo Machi 19,2022 vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakiwa na mchezo dhidi ya KMC kuna nyota wake wa kikosi cha kwanza ambao wanatarajiwa kuukosa mchezo huo. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na utakuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kupiga hesabu ya kusepa na pointi tatu muhimu. Miongoni mwa wachezaji…
NYOTA Sylvester Igboun (31) raia wa Nigeria amekuwa Mwanasoka wa Kiafrika wa kwanza kuondoka kwenye Ligi ya Urusi kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi nchini Ukraine. Igboun ametumia kanuni mpya ya FIFA inayowaruhusu raia wa kigeni wanaocheza mpira wa kulipwa nchini Urusi kusimamisha mikataba yao na kuondoka kwa muda. Tofauti na ilivyotarajiwa, mshambuliaji huyo ameamua kuuvunja…
ILIKUWA ni bonge moja ya mechi na upinduaji meza wa kipekee baada ya Leeds United kuwa nyuma kwa mabao 2-0 dhidi ya Wolverhampton Wanderers. Mabao ya Jonny Otto dk 26 na Francisco Machado Trincao dk 45+11 yaliwapa uongozi kwa muda Wolverhampton na baada ya Raul Jimenez kuonyeshwa kadi nyekundu dk 53 meza iliweza kuanza kupinduliwa….
HUKU wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wao wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas, Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amesema kama wakifanikiwa kufuzu robo fainali ya michuano hiyo, basi watakuwa kwenye nafasi kubwa ya kufika fainali. Simba inaongoza Kundi D la Kombe la Shirikisho Afrika…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
BAADA ya kuwasili leo Benin kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya ASEC Mimosas, kikosi cha Simba kimeanza mazoezi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Machi 20,2022 ni wa hatua ya makundi, Simba ikiwa na pointi 7 huku ASEC 6 ndani ya kundi D. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…
UONGOZI wa KMC umeweka wazi kwamba hakuna kitakachowazuia kupata matokeo mbele ya Yanga katika mchezo wao wa ligi unaoatarajiwa kuchezwa Machi 19, Uwanja wa Mkapa. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa hakuna kitakachowazuia kupata matokeo mbele ya Yanga. Christina amebainisha kwamba kupoteza mchezo wao mbele ya Coastal Union kumewapa…
NJE ya uwanja, tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi amewamaliza wapinzani wake, KMC wenye maskani yao Kinondoni, Dar es Salaam. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana kesho Jumamosi saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara raundi ya 18. Katika mchezo huo, Yanga itaingia uwanjani ikitaka kuendeleza rekodi…