MKWAKWANI, COASTAL UNION 0-1SIMBA,MAPUMZIKO

Mapumziko, Uwanja wa Mkwakwani Tanga, Coastal Union 0-1 Simba. Bao la kuongoza kwa Simba limepachikwa na kiungo Bernard Morrison dk ya 40 baada ya beki wa Coastal Union kufanya makosa katika kupiga pasi kwenda mbele. Coastal Union chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda imeweza kuotea mara mbili na wamepiga mashuti matatu ambayo yamelenga lango. Simba…

Read More

MAYELE ATAJWA KUWA MCHEZAJI MWENYE UWEZO NA KIUNGO WA ZAMBIA

KIUNGO wa Simba, Clautos Chama raia wa Zambia amesema anawahusudu sana baadhi ya wachezaji wa kigeni kutoka kwa watani wao wa jadi Yanga. Akizungumza kwenye mahojiano maalum, Chama amesema pia anawakubali pia wachezaji wenzie wakigeni kwenye timu ya Simba. “Nadhani nitawataja Pape Sakho, Peter Banda, Saido Ntibazonkiza, Aucho licha ya kuwa sijamtazama sana akiwa anacheza…

Read More

SIMBA YAIPIGIA MATIZI RED ARROWS KWA MKAPA

PABLO Franco, leo Novemba 26 ameongoza mazoezi kwa mara ya kwanza kwa kikosi chake katika Uwanja wa Mkapa. Mazoezi ya leo ni kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano na unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Itakuwa ni Novemba 28 ambapo mashabiki 35,000 wa Simba wameruhusiwa kuingia kushuhudia mchezo huo. Kwa…

Read More

SOPU APIGIWA HESABU NA VIGOGO VITATU

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuiwania saini ya kiungo mshambuliaji wa Coastal Union,Abdul Suleiman,’Sopu’. Sopu amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ambapo anaongoza kwa utupiaji wa mabao akiwa nayo 7 kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba kiungo huyo amecheza Simba kisha akaibukia Ndanda kwa mkopo na akaibuka ndani ya Coastal Union inayonolewa na…

Read More

LIGI KUU BARA: IHEFU 1-1 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Highland Estate katika dakika 45 za mwanzo umekuwa ni sawa kwa timu zote mbil. Ni Ihefu 1-1 Yanga wababe hawa wakiwa kwenye msako wa pointi tatu. Lenny Kisu amefunga bao la kwanza dhidi ya Yanga dakika ya 40 kwa msimu wa 2023/24 kwa kuwa ilikuwa bado haijafungwa. Ni Pacome Zouzoua kapachika…

Read More

RUVU SHOOTING DARASA KWE WENGINE

HESABU za kwenye Ligi Kuu Bara kwa sasa zimeshafungwa kwa baadhi ya timu kutokana na kuvuna kile ambacho wamekipanda, Yanga ni mabingwa wa ligi na wametinga hatua ya fainali ya Azam Sports Federation. Ni dhidi ya Singida Big Stars walipenya kwenye nusu fainali na sasa watakwenda kumenyana na Azam FC, Mkwakwani Tanga. Ruvu Shooting ya…

Read More

SALEH JEMBE AMSHUSHA VYEO CHAMA – ”HAKUNA FREE KICK KALI PALE – MPIRA ULIKUWA UNATOKA”…

Mchambuzi mkongwe wa soka nchini Saleh Jembe, amefunguka kupitia Global TV, ameonyeshwa kutopendezwa na maamuzi mabovu yaliyofanywa na mwamuzi Ramadhani Kayoko, katika mchezo kati ya Simba na Yanga jumamosi iliyopita, akikiri kuwa Kwa mwamuzi wa viwango vya FIFA kama Kayoko haipendezi kufanya Maamuzi kama aliyoyafanya. Jembe amezungumza hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Global TV, ambapo…

Read More

PIRATES POWER KASINO, USHINDI UNAPOANZIA!!

Kasino Inalipa sana! Watu wengi wametajrika kwa kucheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Sababu kubwa zipo mbili, kwanza ni rahisi kucheza kasino, pili unaweka dau lolote ulilonalo. Jisajili Meridianbet kuanza safari ya kufukuzia Utajiri. Meridianbet kuna michezo mingi sana ya Kasino ya Mtandaoni, lakini moja kati ya michezo rahisi kabisa wa kasino ni Sloti ya…

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI HOROYA KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utapambana kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya Horoya ambayo ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Jumamosi hii ya Februari 11, 2023 nchini Guinea. Tayari kikosi cha Simba mapema alfajiri ya leo kilikwea pipa kuwafuata wapinzani wao kikiwa na wachezaji wake…

Read More

KOCHA NABI AIGOMEA SIMBA,HESABU KWA NAMUNGO

KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi amewapiga mkwara mastaa wake kwa kuwataka kutofikiria mchezo wa Dabi ya Kariakoo na badala yake kuhamisha akili zao dhidi ya Namungo FC. Yanga kabla ya kuvaana dhidi ya Simba Aprili 30, mwaka huu katika Dabi ya Kariakoo  watacheza dhidi ya Namungo Aprili 24, katika mchezo wa ligi kwenye…

Read More