TAARIFA ZA UJANJA UJANJA KUMONDOA RAIS WALLACE KARIA ZIACHWE

Tayari kuna taarifa kadhaa kutoka katika vyombo mbalimbali nje ya Tanzania kwamba kuna UJANJA unafanywa kwa ajili ya kumuondoa madarakani Wallace Karia. Inaelezwa eti Serikali ndio imeamua. Wajanja wanataka kutumia mwanya wa njia ya MKATO kuwaingiza wawatakao madarakani kwa faida ya mfanyabiashara MMOJA TU. Serikali haiwezi KUINGILIA MASUALA YA SOKA na hakuna kokote inaonyesha TFF…

Read More

MERIDIANBET FOUNDATION YAADHIMISHA MIAKA MITANO YA MSAADA WA MASOMO NA UKUAJI WA TEKNOLOJIA

Meridianbet Foundation, taasisi ya kijamii chini ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), imeadhimisha miaka mitano ya mpango wake wa kimataifa wa kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi katika masoko 17 duniani. Mpango huu umejikita katika kuimarisha elimu na kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kisasa katika nyanja za teknolojia na dijitali. Zaidi ya msaada wa kifedha,…

Read More

FOUNTAIN GATE VS AZAM FC PATACHIMBIKA

Mchezo wa Fountain Gate vs Azam FC, Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Juni 22 2025 patachimbika uwanjani kwa wababe hao kuvuja jasho kusaka ushindi ndani ya dakika 90. Fountain Gate hesabu kubwa ni kujinasua kutoka mstari wa kucheza play off huku Azam FC hesabu kubwa ikiwa ni kumaliza ndani ya tatu bora ikiwa na pointi nyingi….

Read More

CHEZA SUPER HELI USHINDE SAMSUNG A25 MPYA

Kampuni inayoaminika zaidi kwenye michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imeleta tena promosheni inayotikisa. Mwezi huu wa Juni, usikose kushiriki katika ofa kabambe iitwayo “Paa na Super Heli, Shinda Samsung A25”, promosheni maalum kwa wachezaji wa kasino mtandaoni, hasa mchezo wa Super Heli. Kupitia promosheni hii, unapata nafasi ya kushinda simu mpya aina ya Samsung…

Read More

VITA YA UFUNGAJI BORA PASUA KICHWA

Kwenye eneo la tuzo ya kiatu cha ufungaji bora vita bado ni mbichi kutokana na mechi ambazo zimebaki matokeo yake kutotabirika. Jean Ahoua wa Simba SC ni kinara kwa sasa akiwa na mabao 16 anafuatiwa na Clement Mzize na Prince Dube wa Yanga SC wakiwa wametupia mabao 13. Leonel Ateba wa Simba SC naye katupia…

Read More

HIZI HAPA MECHI ZA FUNGA KAZI JUNI 22

LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora inatarajiwa kugota mwisho Juni 22 kwa mechi za raundi ya 30 kupigwa kwenye viwanja 8 tofautitofauti. Mechi zote 8 zitaonyeshwa mubashara Azam TV kuanzia saa 10:00 ambapo mechi zote zonatarajiwa kuonyeshwa na JKT Tanzania watakuwa kwenye Sinema Zetu. Hii hapa ratiba ya Juni 22 2025…

Read More