TANZANITE YAITULIZA ETHIOPIA KOMBE LA DUNIA
TIMU ya taifa ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20, ‘Tanzanite’ jana iliweza kupata ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar na ulishuhudiwa na mashabiki wengi waliojitokeza kushuhudia mchezo huo. Dakika 45 za mwanzo ngoma ilikuwa ngumu kwa timu zote…