GAMONDI AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA NAMUNGO
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Machi 8 2024. Yanga itamkosa Pacome, Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja kwenye mchezo wa leo kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa kikosi hicho kilichopo Lindi. Baaada ya…