
SPORTPESA, AIRTEL MONEY NA M-PESA WAZINDUA PROMOSHENI YA BET BONANZA
KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa imezindua rasmi kampeni maalum kwa ajili ya kuwazawadia wateja wake. Promosheni hiyo imezinduliwa leo Jumanne katika ofisi zao Masaki, Dar es Salaam ikihusisha makampuni ya mitandao ya simu za mkononi Vodacom na Airtel ikiwa na lengo la kuwazawadia wateja hasa katika kipindi hiki ambapo mechi mbalimbali zinaendelea. Akizungumza wakati…