
KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA DHIDI YA AZAM FC
KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza leo Aprili 6 Uwanja wa Azam Complex dhidi ya Azam FC. Ngoma inapigwa saa 2:15, tayari kikosi cha Yanga kimewasili Uwanja wa Azam Complex na wachezaji walipita mlango ule wa mashabiki