
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
DUNIA iliibatiza Afrika na nchi zake kuwa sehemu ya dunia ya tatu,ikiamini kuwa ni dunia ambayo maisha ya mwanadamu wa kawaida yapo kwenye changamoto lukuki zinazofanya ndoto nyingi za vijana wa bara hili kuishia njiani au kutimiza kwa shida mno. Waafrika hupitia njia nyingi sana za shida, vikwazo vya kila aina katika kutimiza ndoto zao….
KLABU ya Tanzania Prisons ilikuwa kwenye kipindi cha mpito kwenye maisha yake ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na kushindwa kuvuna pointi tatu kwenye mechi ambazo walikuwa wanacheza. Katika Ligi Kuu Bara ni timu ambayo ilikuwa kwenye nafasi ya 16 mpaka mzunguko wa kwanza ulipokamilika na sasa ni safari ya mzunguko wa pili umeanza. Kwa…
VIGOGO Bayern Munich hawataacha kulikumbuka jina la Samuel Chukwueze ambaye alipachika bao lililowafungashia virago katika mchezo wa hatua ya robo fainali. Ni Robert Lewandowski mshambuliaji mahiri wa Bayern Munich alipachika bao la kuongoza dk ya 52 ila liliwekwa usawa zikiwa zimebaki dk 2 mpira kufika ukingoni. Villarreal inasonga hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa…
BEKI wa Orlando Pirates, Paseka Mako alikimbizwa Hospitali kupewa huduma jana Aprili 12 baada ya kupata majeraha walipogongana na kipa Richard Ofori kwenye mchezo wa DStv Premiership dhidi ya Baroka FC uliochezwa Uwanja wa Peter Mokaba. Ilikuwa ni kwenye muda wa nyongeza ambapo beki huyo aliweza kugongana na mchezaji mwenzake ambaye ni kipa Ofori aliyekuwa…
REAL Madrid safari ya nusu fainali ya Champions League imejibu baada ya ushindi wa jumla ya mabao 5-4 dhidi ya Chelsea. Ni Karim Benzema ambaye alikuwa ni mwiba kwa Chelsea baada ya kupachika bao la ushindi kwa Real Madrid katika muda wa nyongeza. Ilikuwa ni Uwanja wa Santiago Bernabeu mbele ya mashabiki 59,839 ubao ulisoma…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
UONGOZI wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC umepiga marufuku Tochi za miale ya kijani, ambazo zimekua zikitumiwa na Mashabiki kuwamulika wachezaji wanapokua kwenye makujumu yao Uwanjani. Simba SC imepiga marufuku Tochi hizo, kuelekea mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates utakaopigwa Jumapili (April 17), Uwanja…
NYOTA Ibrahimu Ajibu mzee wa makorokocho rekodi zinaonyesha kuwa alijenga ushikaji akiwa ndani ya Simba kwa kuwa aliweza kucheza mechi mbili pekee. Ajibu hakuwa ni chaguo la kwanza mbele ya Kocha Mkuu, Pablo Franco ambaye alikuwa akiweka wazi kwamba nyota huyo ni moja ya viungo wenye uwezo mkubwa. Akiwa ndani ya kikosi cha Simba kiungo…
AHMED Ally, Meneja wa Kitengo cha Habari Mawasiliano ndani ya kikosi cha Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Orlando Pirates ambao ni hatua ya robo fainali na kuwaomba mashabiki wajitokeze kwa wingi kwenye mchezo huo kutimiza ile idadi ambayo wamepwa na CAF mashabiki 60,000. Ameweka wazi kwamba wapo…
FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga aliwekwa mtu kati juzi mbele ya Geita Gold baada ya kukabidhiwa kwenye mikono salama ya Kelvin Yondan na Juma Nyosso ambao walikula naye sahani moja. Mzee huyo wa kutetema aliyeyusha dk 90 mazima bila kutetema huku kila hatua ambayo anakwenda nyuma alikuwa yupo Nyosso ama Yondani kwa ajili ya kwenda…
HAKUNA anayejua itakuaje sasa kwenye hatua ya robo fainali baada ya Simba kufanikiwa kupenya hasa kwenye upande wa lango nani ataanza kati ya Aishi Manula,Beno Kakolanya ama Ally Salim. Weka kando kuhusu kufikiria nani ataanza lakini chaguo namba moja ni Manula ambaye amekuwa kwenye mwendelezo bora awapo langoni. Hapa tunakuletea namna nyota huyo alivyotimiza majukumu…
MKAZI wa Lukobe, Morogoro, George Kimaro leo asubuhi ameibuka mshindi wa kufungia kampeni ya Bet Bonanza ya SportPesa, baada ya kujishindia kitita kkikubwa zaidi cha shilingi 15,888,000 katika droo ya mwisho ya Bet Bonanza ambayo imefika tamati siku ya leo. Katika droo hiyo ambayo pia imehusisha washindi wa droo ya shilingi milioni moja moja kwa…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna ugumu mkubwa wa kupata matokeo kutokana na ubora wa viwanja pamoja na kushindwa kutumia nafasi ambazo wanazipata. Mechi mbili ugenini, Pablo kaambulia pointi nne huku akipoteza pointi mbili kwenye msako wa pointi sita, mchezo wake ujao ni dhidi ya Orlando Pirates ambao wa ni wa Kombe…
KAZI ilikuwa kubwa kwenye msako wa ushindi Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Geita mwisho wa siku bahati ikawa kwa upande wa Yanga. Geita Gold waliweza kuonyesha burudani makini ila mwisho wakapoteza kwa penalti 7-6 dk 90 zilikamilika kwa kufungana bao 1-1 ilikuwa namna hii msako wa kutinga nusu fainali:- Yaliyolenga lango Kwa…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuweza kutwaa Kombe la Shirikisho Afrika hivyo watahakikisha wanashinda hatua ya robo fainali ili kuweza kutinga hatua ya nusu fainali kisha fainali ili kutwaa Kombe la Shirikisho Afrika. Ofisa Habari wa Simba,Ahmed Ally amesema kuwa benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco na Seleman…
BAADA ya jana, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuwajata anaodai wanataka kumuua, msemaji Yanga Haji Manara amemshukia Makonda. Manara ameweka komenti kwenye posti ya makonda na kuandika hivi: “Anaitwa Mungu, mkweli na kwa sasa hachelewi kujibu, leo unatafuta sympathy huku ukijua nn…